Demokrasi iwepo kiasi kidogo tu, ila mume anahitaji kuwa na maamuzi juu ya mke wake, nishashuhudia kwa rafiki yangu kabla hatujaanza kumiliki simu za mkononi
Mkewe akiamua kutoka alikua anaandika kimemo tu anaacha mezani kumjulisha mtoko wake, jamaa akisoma ameridhika.
Mimi hiyo kwangu ni marufuku, safari lazima ijulikane mapema na niilidhie hata kama atatumia nafasi hiyo kufaanya yake ila likitokea la kutokea nitakua na pakuanzia kama mme, mwanamke anaamua tu kutumia madawa ya kuzuia mimba bila kukushirikisha, au anaamua kuacha kutumia dawa hizo bila kukushirikasha, ustukia anakwambia sijaona soku zangu.
Aisee udikiteta lazima ili ndoa iende.