Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nilimdanganya mpenzi wangu kwamba nimefukuzwa kazi na biashara zangu zimetaifishwa, baada ya masaa matatu alizima simu nikamtafuta mpaka kwao sikumpata na baada ya wiki mbili nikakutana naye...
5 Reactions
59 Replies
6K Views
nimekaa chini nikafikiria nikaona ninahitaji ushauri wa wadau kundini...mimi nna msichana wangu anayesoma chuo kimoja maarufu...siku tulitoka yeye na rafiki yake club kurud hostel nami nikalala...
3 Reactions
124 Replies
16K Views
Dunia hii imejaa kila aina ya mila na desturi. Kuna jamii fulani nchini Singapore ambapo baada ya harusi, siku ya kwanza kwenye tendo la ndoa, lazima familia kutoka pande zote mbili waje...
3 Reactions
42 Replies
8K Views
Mimi ni mwanaume nina umri wa miaka 28,elimu yangu ni chuo kikuu,rangi yangu mweupe kiasi,urefu ni wastani pia nina mtoto . Mwanamke mwenye vigezo vifuatavyo aje Pm, 1.Awe na umri kuanzia 18-26...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Asalaam Kiukweli maisha ya mapenzi yanamambo mengi sana,huwa sishangai watu kujiua au kuamua kuchukua maamuzi magumu yenye athari za badae.Kifupi,nilikua ni muumini mzuri sana wa mapenzi na...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Good evening ladies and gentlemen, Alamsiki, Iftar njema kwa wote waliofunga. Someday I'm gonna write the story of my life I'll tell about the night we met and how my heart can't forget The...
0 Reactions
1 Replies
970 Views
Ilishazoeleka toka enzi za mababu wanawake kunyanyaswa katika mahusiano, wanawake enzi hizo walikuwa wanalia sana na wakuwabembeleza hakupatikana. Naweza kuamini pengine wanawake walisali...
6 Reactions
42 Replies
7K Views
Jamani mimi nadhani mapenzi na warembo wa kitanzania yamenishinda. Nimemtumia mrembo laki moja nzima kwenye M-pesa yake, lakini yeye hata kujishaua tu kusema baby asante ya kinafiki hakuna...
10 Reactions
131 Replies
13K Views
Habarini wanajf,wakati wa sexual inasemekana kuwa mwanamke pia huwa anamwaga but my self sijawahi kutana na hicho kitu tangu nianze kushiriki sex,asa natakakujua kuna tofauti ipi kati ya mwanamke...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Mambo vipi wananaMMU Napenda nchukue wasa huu kutangaza kuwa natafuta rafiki mwana MMU wa kike,no condition and terms wote mnakaribishwa am new member by the way. Naomba kuwasilisha. Asante
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Baada ya kutambuliwa kama mtu mwenye msimamo mkali na asiyependa dhihaka, mabaye huwafuta watu hadharani, huenda sasa Rais wa Tanzania John Magufuli ana maadui wengi. Sasa akiwa ikulu na kama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mila na desturi za kuoa zinatofautiana kati ya kabila na kabila au taifa na taifa lakini kwa mila na desturi za Kiafrika hatujatofautiana sana ila kama unataka kuoa binti wa Kinaijeria ndugu yangu...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Heri ya weekend wadau!! Iko hivi, miezi kadhaa imepita sasa Niko na uhusiano na binti mmoja hapa mjini! Sijawahi kubishana nae, yaani kwa kifupi tuko poa. Issue ni kwamba huyu binti akishtuka...
6 Reactions
45 Replies
9K Views
Imezoeleka na kuonekana kuwa wanawake wananyanyaswa na wanaume hasa linapokuja suala la uaminifu wa mapenzi. Mbali na hayo wanawake pia wamekuwa wakibakwa na waume zao wa ndoa kwa maana ya...
1 Reactions
52 Replies
10K Views
Muda mwingine tukiwa tunawaacha ( kuwatema ) msiwe mnatulaumu kwani ni uzembe wenu ndiyo unatusababisha. Unajua kabisa Mimi ni Mume wa Mtu na nilishakueleza kila kitu na hadi kukupa mwongozo...
13 Reactions
37 Replies
4K Views
Usipotumia mind katika mapenzi utaona dunia ni chungu.Mapenzi yanaweza kukuendesha kufanya na kufanya mambo usiyoyatarajia.Ikumbukwe kuwa mapenzi yanaspiritual power yake ambayo hutofautisha...
4 Reactions
39 Replies
10K Views
Poleni sana wandugu humu ,pole nyingi hasa kwa kaka Mentor kwasababu ambazo alizieleza yy mwenyewe ila muone Deception au Mzizi mkavu atakupa maelezo mazuri. Nisiwe muoneaji sana ngoja niende...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Papa Francis amewataka Wakatoliki Duniani kuwaomba radhi watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kwa madai kuwa si haki kuwahukumu na kuwachukulia kinyume kwani kanisa halina mamlaka ya...
1 Reactions
398 Replies
85K Views
Nawasabahi wanaMMU. Ni Jumapili kama hii wiki moja imepita nilipokea simu ambayo imebadilisha maisha yangu na mtazamo wangu kuhusu mahusiano. Well, nilipokea simu na upande wa pili nikasikia...
21 Reactions
222 Replies
28K Views
Mawazo ni mlundikano wa matukio kwenye akili, yanaweza kuwa ni matukio mema au mabaya ila matukio haya huwa yanajirudia rudia kiasi cha kumfanya muwazaji kushindwa kuendelea na mambo mengine,mfano...
6 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom