Kutokusex nae on our first dating, kumemfanya anikimbie!

Kutokusex nae on our first dating, kumemfanya anikimbie!

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
522
Reaction score
630
Huyu
Mwanamke kanshangza sana, tumekuwa tukiwasiliana kwa muda wa wiki moja hivi, pasaka nikamualika kwangu Aim yangu apajue, cha ajabu alivyokuja,
nimwonyesha dalili zote kuwa mie sina haraka na kusex, na nampenda kwa dhati. Alivyoondoka mawasliano yakawa mabovu hadi leo, nimemwalika upya kanambia
sina effect. which mean alitaka tu do! kha!
 
Hutakiwi kujutia hukupanga kumgegeda.

Inabidi ushukuru ,
Watu wengine huwa wanapania alafu demu anachomoa kugegedwa.
 
Polee sana...its all about timming
what do u mean, inamaana she wanted it on our first meeting. i think that could oppose my goal in our relationship. i wanted her as my permanent woman, hence patience is among the sign i had to show her for this!
 
what do u mean, inamaana she wanted it on our first meeting. i think that could oppose my goal in our relationship. i wanted her as my permanent woman, hence patience is among the sign i had to show her for this!
Kuna kitu huelewi kuhusu women...timing...hiyo date umeji expose sana...sasa sex ingekusaidia ku cover your weaknesses but na hilo ukashindwa
 
what do u mean, inamaana she wanted it on our first meeting. i think that could oppose my goal in our relationship. i wanted her as my permanent woman, hence patience is among the sign i had to show her for this!
wewe ni kama mie,mwanamke naetaka kuwa nae serious siwezi sex nae kwanza mpaka nimfahamu vizuri ila wale wa friend mechi anytime ,anywhere.
 
mkuu mwanamke anaejihamini uwezi mgegeda on your first meeting. infact atapima patience yako hapo. huyu atankimpata atakuwa wakugawa kwa kila mtu! hafu mie siyo dogo.

Dah Braza huna effect....
 
mkuu mwanamke anaejihamini uwezi mgegeda on your first meeting. infact atapima patience yako hapo. huyu atankimpata atakuwa wakugawa kwa kila mtu! hafu mie siyo dogo.

hapana shaka atakuwa kahaba aliyekubuhu au jini aachane nalo.
 
what do u mean, inamaana she wanted it on our first meeting. i think that could oppose my goal in our relationship. i wanted her as my permanent woman, hence patience is among the sign i had to show her for this!

Haija khusu,labda kwa muonekano wako...ulimwambia akufafanulie kamaanisha nini kusema huna Effect?
 
Achana nae hana upendo wa dhat huyo.anajal ngono na hana subira..
. aibu sana kwa mwanamke
 
mkuu mwanamke anaejihamini uwezi mgegeda on your first meeting. infact atapima patience yako hapo. huyu atankimpata atakuwa wakugawa kwa kila mtu! hafu mie siyo dogo.

Hahahaa nimecheka apo eti sio dogo iyo take it easy

Nikirudi kwen mada ...hiyo sio one size fits all rule..mwingine ndo kipimo chake icho ndo maana The Boss anazungumzia timing...ina maana ameshakuona ndo kama ivo..kutokumgegeda haina guarantee kwamba hatagawa hovyo baadae!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom