Hamna mtu anaependa kuwa Single. Kuwa single sio kwamba mtu hujui kupenda. Sababu kubwa ni kuchoka kujitoa kwa mtu halafu mwishoni unapata maumivu.
.
Inachoka kuamini na kupenda sana mtu na...
Habari za asubuhi ya jumapili wadau,
Kisa kipo hivii,
Ilikua mwaka 2015 nilisafiri kwenda mkoa wa Arusha wilaya ya Loliondo kutafuta riziki, huko nikakutana na mdada mzuri saaana mweupe kaenda...
Habari wakuu kuna demu mmoja hivi ni kama mshikaji wangu bana kumbe yule demu alikua ananizimia kinima noma sema ajawahi kunambia bana sasa siku ikipita sijamtumia text anaumia kinoma noma yaani...
Jamani wana JF, watu tupo tofauti sana, kuna Wanaume tena wengine wameoa, najua ni
hormones za kike anazo, yaani dume limejazia ma.t.ako hata wanawake wenye makalio anawazidi au mke haoni ndani...
Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani wanaume hawajui kucheza na akili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo...
Mambo watu wa Mungu?
Wakuu, Kuna jambo linanishangaza, mpenzi wangu amepokea taarifa za msiba wa ex boyfriend wake ambae kwa maelezo yake anasema amefariki alfajiri ya leo kwa ajali ya gari, so...
Wadada wote vimbaumbau mnakaribishwa kuja kunifanyia uchunguzi kama Nina stahili kuwa mume bora ama hapana, uchunguzi huo utakuwa kuanzia SAA 12 jioni hadi saa 12 asubuhi!
Wanawake wote wapelelezi...
Hello Ladies and Gentlemen. Hope the thread finds you well.
An esteemed members of JF,I would like to know how to deal with an angry partner as it is titled hereinabove. Sometimes, It's hard to...
Usione watu wanadumu kwenye ndoa mda mrefu miongoni mwa sababu ni kuwa wao ni wa mwanzo kabisa kwenye hizo pauchi, tofauti na hapo yafuatayo yanweza kuwa ni kwa sababu umeoa lkn wewe kwenye list...
Kama umeshapokea pesa au kuomba mwanamke wako pesa wewe si mwanaume ila ponytail.
Kama umesomeshwa na wakwe wewe ni mtumwa.
Kama unakaa kwenye nyumba ya wakwe wewe ni free loader.
Kama mkeo ana...
Kabla ya kusema moja kwa moja kitu ambacho nimepanga kutoa tution leo, nianze na kusema hili...
Wasichana wengi mmekua mkipenda kudate na wanaume mnao wapenda sana, sometime hata anakua sio type...
Wadau wa jf hamjamboo?
Mimi ninao muda wa kumweka mtu sawa iwapo anakukera wewe unaniambia tu namchamba .
Awe Ke Me anayekukera unasema sababu basi namchamba
Kila siku unaongoza kwa kulike picha za wanawake wengine katika mitandao ya kijamii, unacomment kwa kusifia na ukitoka unachat nao inbox tena kwa wazi hata kama ni kwa utani. Wakati huohuo yeye...
Habari zenu wana JF. Mara nyingi mabinti huwa tunaangalia vitu vikubwa vikubwa tu wanaume haswa pale tunapotaka kuaanza mahusiano, utasikia kwa sababu ana cheo fulani , ana kipato fulani, ana...
It's comrade, a.k.a The man himself! A.k.a Mfalme wa Nyika, Namba 9 mgongoni mshambuliaji hatari.
Ni kwa Mara nyingne teeena mbele ya upeo wa mboni yako, ninarindima hapa jamviniii
Anaandika...
Habari wanajmvi?
Miaka michache huko nyuma ili wazazi wajue mtoto wao ni rijali ilikuwa kumuona mtoto wao akibadili mademu. Asikuambie mtu wazazi wenye watotot wa kiume wanafurai wakisikia mtoto...
Leo, kwa style tofauti kabisa,nimekuja kwenu kuomba MSAADA,nikiwa na masikitiko makubwa.
Kwanza bila uoga au kuogopa kunyanyapaliwa au kuchekwa naomba niwaambie ndugu zangu wa JF kua mimi ni...
Katika utafiti nilofanya kwa baadhi ya wanawake wanaoenda huko nchi za ulaya kimasomo au kikazi au kuhamia kabisa ile hali waliotoka nayo hapa kiumbo/kimwili wakishakaa huko nje kwa muda wa miaka...
Wanawake wengi siku hizi mitandao mmekuwa mkilalamikia sana swala la kutokufikishwa na waume zenu,imekuwa kilio kwa wanawake kutofurahishwa na show za waume zao, nikweli kuna wanaume hawasimamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.