Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.7K
Threads
7.9K
Posts
231.7K

On JF:

Huyu ni rafiki yangu mkubwa Sana kwao na kwetu tunatambulika wakat fulani anakuja kulala home namimi naenda kulala kwao sikutegemea kama angenitendea kitendo hicho. Jamaa alikua anaona nachati na...
1 Reactions
60 Replies
9K Views
Tulipokea simu kutoka kwa mama aliyeongea kwa uchungu mkubwa. Alijitambulisha kama mama Mariam mkazi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam. Alitueleza kuwa aliyekua mumewe ambaye ni baba wa...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna kabinti kanauza chai hapa mtaani kwetu dah huku na huku bwana nikaona nikatongoze nkakabandue lakini mawazo yangu yooote nadhani Ni wa miaka kama 19 au 20 nimekatongoza kakakubali haraka...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Jamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu, Nifanyeje? Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
228 Replies
18K Views
Huyu mwanamke sijui anateseka au ana shida gani. Aliniacha mwenyewe mwaka jana, nikajaribu kumbembeleza akakataa akasema nikubali tuwe marafiki tu vinginevyo nimsahau. Kwa bahati nzuri au mbaya...
3 Reactions
114 Replies
21K Views
Nawasalimu wakuu na wadogo! Niende kwenye mada; Kidogo mimi ni mtaalam wa maswala ya kisaikolojia/sayansi inayojihusisha na tabia za binaadam na uwezo/ufanyaji kazi wa akili kitaalam branch of...
4 Reactions
107 Replies
14K Views
Miaka iliyopita Niliwahi kuwa na uhusiano na bint aliyekuwa Mwanafunzi wa chuo Fulani ,Kisha uhusiano ukavunjika kutokana na yeye kuleta usaliti na kuanza uhusiano na mwanaume mwingine, Mimi...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakuu, Hii mikoa tajwa ni kweli wanajibinua hivi? Karibu kwa maoni... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Aiseee wanaume wenzangu inasemekana kwamba ukiwa unafanya mapenzi / unabaiolojiana na Mwanamke yoyote yule halafu pale unapomaliza mshindo wako / unapiga bao lako la Kichuya au Ajib halafu ukaona...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wanajukwaa, natumai mmu wazima Wanajukwaa, bali ya kuwa domo zege na mwanachama mstaafu wa CHAPUTA nimegunduwa ya kuwa nawapenda wanawake vibaya mto yaani hakuna yakuelezea ilo...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimeishuhudia jana hii jana kwa rafiki yangu wa karibu, Upo na gari yako (IST) umetoka job ukampitia Girlfriend wako mkale bata na kutoa machungu ya kazi za wiki nzima. Girlfriend wako ni type...
13 Reactions
101 Replies
9K Views
Wakuu samahanini wanaume wenzangu kwa kuwaangusha. Asubui nimeleta uzi humu juu ya mlimb wa kidigo niliekaanae siti 1 lengo nimwombe namba Mpaka nimefika mwisho wa safari yangu njia mzima . Sio...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari za usiku wakuu Poleni na majukumu na mihangaiko ya kila siku.Nina jambo linanisumbua na kuniweka njia panda na sijui lengo hasa la huyu mama nini hasa kisa chenyewe ni hivi Terehe moja...
4 Reactions
99 Replies
8K Views
wakuu kwema? mnaweza kushare nami maneno matamu ambayo mmewahi kutamkiwa na X zako kabla ya kubreak ambayo ukiyakumbuka leo unajihisi kummiss? mimi aliniambia,Darling, despite all these shit...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Salaam wakuu, moja kwa moja kwenye mada, naomba msaada wa kimawazo juu ya hili nalopitia wana jamvi wenzangu. Mm ni msichana miaka 23, nimekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa...
8 Reactions
340 Replies
20K Views
Wasichana wa siku hizi awajui Thamani ya Mume wala Thamani ya Ndoa. Wasichana wa siku hiizi awana Cha kumpa mwanaume zaidi ya Kumpa papuchi tu Hawana mawazo yoyote ya kimaisha wala kufikiri kwa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Nilimtokea binti mmoja mzuri, akaniambia ana jamaa(Mpenzi) yake japo huyo jamaa alikua mbali kwa wakati huo. Nikakomaa nae akakubali kwa sharti kwamba hataachana na mpenzi wake huyo. Basi mtoto...
4 Reactions
87 Replies
8K Views
Waungwana wa MMU Kuna hii tabia ya wanawake wa kileo kuwaponda waume zao juu ya madhaifu yao kunako 6×6 Mara hop mme wangu tangu anioe mvivu sana hajanikojolesha,Mara goli moja tu kachoka Mara...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wana jf. Napenda kuwaomba ushauri katika suala langu linalonisibu. Nimeishi kwenye ndoa miaka 13 Mungu akatujalia mafanikio makubwa kiasi tuna uwezo wa kusomesha watoto ada ya 4mil plus...
5 Reactions
95 Replies
12K Views
Hello guys Mpaka inafika kipindi MTU unatamani ustaafu kutongoza, yani hakuna tofauti kati ya changu anaesimama barabarani na demu wa mtaani, wote wanauza papuchi zao.. Wakati ww unawaza jinsi...
10 Reactions
38 Replies
4K Views
Back
Top Bottom