Habari wakuu?leo naombeni kwa pamoja tujadili umuhimu au ukuu wa baba ndani ya familia, mara nyingi nimekua nisikia watu wakihoji nani kama mama!? mara zote jibu langu huwa ni baba, kwanini...
HABARI ZA MUDA HUU
Thread yangu ilopita niliuliza swali kuwa
"JE NI UJANJA AU USHAMBA KUFANYA MAPENZI NA SHEMEJI YAKO? (wa kike)
Hili niliuliza pale ambapo mpenzi ninayeishi naye amekuja na...
Wadau kama hatukuomba idhini ya kuja duniani basi pia hatuna idhini ya kuomba kuondoka kwa matakwa yetu.. Bali yake yeye aliye mkuu wa vyote...
Hali ni mbaya kwa mambi mengi, rasilimali wanaume...
Nawasalimu wote
Wanawake wenzangu msiwategemee hawa viumbe wabinafsi katika kufikia kelele wakati wa tendo la ndoa, mbaya zaidi siku hizi wamekuwa dhaifu. 😔 😔 😔 mjihudumie wenyewe.
Kwa wale wanaume ambao blowjob ni sehemu muhimu ya mapenzi. Kama iliwahi kutokea uka cum mdomoni kwa mwanamke kwa bahati mbaya na unajua hapendi ulijitetea vp na yeye ali react vp.Naombeni uzoefu
Naomba wanawake mulifahamu hili ya kwamba HAKUNA MWANAUME ANAECHEPUKA KWENYE NDOA KWA KWENDA KUTAFUTA TABIA NJEMA HUKO NJE.
mwanaume hachepuki kwa kuvutiwa na tabia njema ya mchepuko,mwanaume...
Wanangu hiki kipupwe cha mwaka huu ni noma kinyama, tangu 2019 imeanza ni burudani kwa kwenda mbele. Ule mwezi wa mapenzi ulivyoanza tu sisi wandewa rada zetu zilikuwa zinasubiria Champions League...
Nina jamaa yangu amefukuzwa kazi baada ya kubainika alikuwa na cheti ambacho si chake, kwakweli jamaa yupo kwenye wakati mgumu maana ni miezi mitatu tu imepita lakini anaona kama miaka 10 ya...
mimi ndimi comrade, ndani ya usiku mneneee!
thread hii inakujia kwa udhamini mkubwa wa galaxy s8+,.
eebanaaee! wanaume tunapitiaga kipindi kigumu sanaaaa, unaweza ukakiita KIPINDI CHA MPITO...
Kwanza na mshukuru Mungu kwa rehema na baraka mbali mbali anazonijalia katika maisha yangu kila iitwapo leo.
Wana-MMU ninakuja kwenu nikihitaji ushauri juu ya hili suala, kiukweli maisha ya...
Mwanamke ameumbwa kuongozwa na mwanaume katika kila kitu.
Sasa pesa ndio kiungo muhimu cha maendeleo na uleta amani katika nyumba.
Hivyo hakikisha mwanamke anakuwa na kipato kidogo kuliko wewe...
Kibinadamu tumeumbwa na wivu fulani hasa linapokuja suala la mapenzi
Katika hali ambayo si ya kawaida kabisa kuna jamii Fulani kanda ya ziwa huwa wana wivu kiduchu sana kwa waume au kwa wake zao...
Habari zenu wapenzi wa MMU..
Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja hivi takribani mwaka mmoja,tunapendana sana na tumeshavunja amri ya 6 kama wapenzi wenye malengo.Mimi na huyu mpenzi wangu...
Mimi ndimi Comrade Kipepe.
a.k.a
JUNGLE MASTER!
Mbele ya upeo wa macho yako.
Ebbaanaaaee! Offssaaaa!
Kwa wanaume tumekua tukiona na kusikia kuhusu VIBAMIA, Leo
Nipo upande wa pili kwa hawa...
Mbele ya mboni za macho yenu ndugu watazamajii!
Mfanyabiasha mkubwa na mwanasaikolojia KIPEPE, Nipo hapa kutafuta mtoto mkaliiiiiiii!!!
Ebbanaaaa! Uwe mkali aseeee! Maana komredi ni Kijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.