" Being single will save you a thousand times more stress than being in the wrong relationship "
Shikamooni Watafiti popote pale mlipo hapa duniani!
Chanzo: Psychological Facts
Nawasilisha.
Kama mjuavyo Eboue jina lake la Utani ni Mpoki hii ni kutokana na kufanana sana na mpoki wa Tanzania, yanemkuta yafuatayo,
Naikumbuka mechi ya fainali, Klabu Bingwa Ulaya msimu wa mwaka...
Hoda muthana wa Alabama na Shamima mabinti wadogo sana waliokuwa majiunga na kikundi cha ISIS wakitokea nchi za magharibi,baada ya ISIS kuvunjika wanaomba kurudi nchini kwao ila nchi zao wamekataa...
Jana Nilikuwa na stress sana baada ya kutoka kazini nikaona wazi nahitaji kupumzika kwahiyo sikutaka kupitia popote
Niliipofika zangu home kutokana na hali ya hewa maana kulikuwa na baridi sana...
Nawasalimia ndugu zangu wana JF. Katika masuala haya haya ya utafiti.
Nilikuwa nikijiuliza mara kwa mara sijui jambo hili niwaelezee!!? Kusema kweli tukio hili sitaweza kulisahau maishani mwangu...
1. Kuona Uzito katika kutongoza / kutongozwa
2. Kukataliwa
3. Gharama ni kubwa kwa wanawake?
4. Kujaribu na kutaka kujua ladha ya punyeto na hatimae kuzoea
5. Ni fashen tu
6. Kuumizwa na...
Habari za jumamosi wapendwa.
Bila ya shaka sote tu wazima wa afya na walio na maradhi Mungu awaangazie warudi kwenye afya zao.
Sote tunajua kuwa ukuaji wa teknolojia umeleta manufaa kwenye jamii...
Habari za weekend wakuu
Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja Muheza Tanga alikuwa kikazi na mimi pia nilikuwa nipo pale kikazi. Tulikuwa marafiki sana nikajikuta nampenda sana ila yeye...
Mzee angekuwepo nadhani angekuwa anawacharaza bakora wao na waume zao.pumbafu kabisa.yule dada yangu mwingine ambaye amewekewa limbwata na shemeji kiasi kwamba anatomaswa tomaswa mbele yangu bila...
Hellow pple nahitaji rafiki nipo moshi kilimanjaro
Napenda marafiki sana nipo bored and alone kinoma
Awe moshi au arusha
Note: Refer my threads ili uelewe ni vyema kumjua mtu kabla hajawa rafiki...
Siku zote MWANAMKE hawezi kumpata Mwanaume aliye mkamilifu maana tupo aina tofauti tofauti.
Ukimpata Handsome_Kichwa chake ni empty.
Ukimpata Genius_Yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako...
Ninayo furaha ya kipekee kabisa,baada ya zoezi langu kufanikiwa.
Yapata mwaka mmoja sasa nimekuwa katika mahusiano na mke wa mtu,kila nikitaka kumuacha nashindwa kutokana na sababu mbali mbali...
Naombeni kuuliza hili maana imetokea kwa rafiki yangu amempenda kijana alimuona kwa mara ya kwanza.
Sasa ikawa anashindwa kumwambia sababu tuu ni sababu ya hofu yule mwanaume atamchukuliaje...
Ulikuwa na Mpenzi wako Ambaye Maneno na Vitendo vyake dhidi yako ili kuwa ni sababu ya kukufanya Uamini kuwa Ana kupenda sana "
Ila baada ya safari ya muda mrefu/kiasi ya mapenzi yenu Ghafla...
Kila mtu atasema lake.. Wengine watasema umeoa kikongwe... Wengine watasema umeoa mwanamke wa kiume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119].. Lakini mapenzi ni ya wawili...
Hellow man hii kitu usiombe ikukute. Ni Jana tu nimefanikiwa kupewa namba na demu ambaye nilikuwa namvizia sana ili neweze kuapply namba yake, So kutokana na pilikapilika zangu inakuwa ngumu...
Wakuu,
Kuna binti hapa kitaa kamaliza form 4 mwaka jana,
Na bado hawajachaguliwa kwenda kidato cha tano,
Kanizoeazoea kiaina ananiita "Bradha".
Ni mweupe na ana mthambwanda balaaaaaah!!!
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.