Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Wakuu samahanini wanaume wenzangu kwa kuwaangusha.
Asubui nimeleta uzi humu juu ya mlimb wa kidigo niliekaanae siti 1 lengo nimwombe namba
Mpaka nimefika mwisho wa safari yangu njia mzima . Sio siri nilishindwa kabisa kuomba namba lakini naamini atanitafuta tu Maana tumepiga Sana stori njiani.. Asante kwa ushauri wenu.. Nasubiri anitafute nishaoga tayari kuondoa uchovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asubui nimeleta uzi humu juu ya mlimb wa kidigo niliekaanae siti 1 lengo nimwombe namba
Mpaka nimefika mwisho wa safari yangu njia mzima . Sio siri nilishindwa kabisa kuomba namba lakini naamini atanitafuta tu Maana tumepiga Sana stori njiani.. Asante kwa ushauri wenu.. Nasubiri anitafute nishaoga tayari kuondoa uchovu
Sent using Jamii Forums mobile app