Huyu demu nilidhani mtoto, kumbe mzee

Huyu demu nilidhani mtoto, kumbe mzee

Behind the camera

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
315
Reaction score
757
Kuna kabinti kanauza chai hapa mtaani kwetu dah huku na huku bwana nikaona nikatongoze nkakabandue lakini mawazo yangu yooote nadhani Ni wa miaka kama 19 au 20 nimekatongoza kakakubali haraka haraka, Leo nakauliza umri wake duh kumbe age imeenda na kana watoto wawili na mmoja anasoma darasa la tatu na mwingine ana miaka mi 3 duh hapa nimeishiwa hata pozi, ukizingatia mie sina hata mtoto mmoja.

Sijui Nim mbeto?
Nimpotezee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama amekuja na K yake, fanya ulichokusudia.
 
Ulikuwa unataka umri wake au utamu wake?

Kama unataka watoto si uende shule za msingi?
 
Back
Top Bottom