Habari za kitambo mabibi na mabwana,
Mtaouliza mbona umepotea hivyo..!! Nipoo nimejaa tele nakusanya dolari, starehe tamu hivi acha nizitafute kwa nguvu zote.
Wandugu sio kama leo ndo najua...
Kama uliwahi kuwa na mahusiano na mwana JF yeyote yule Je mahusiano yenu yalikuwaje?Mlidumu katika mahusino??Je mliaminiana au mlikuwa mnaviziana??
CC
Asprin
Watu8
Vin Diesel
Jiwe Linaloishi...
Amini babu, kawaida tunahusisha umalaya na kabila au makazi au kazi ya mwanamke. Tunakosea sana, ni dhana potofu sana.
Nina Mwanamke Mzaramo but she is Very Smart.
TUBADILIKE
Sent using Jamii...
Habarini Wadau,
Leo nimeamua tu nieleze tukio/ uzoefu mdogo nilioupata katika uhusiano wa Mapenzi wakati nikiwa mdogo kiasi.
Lakini zaidi natamani sisi kama Wanaume tuwathamini sana wanawake...
Kama kicha kinavyojieleza.
Mimi ni mwajiliwa katika taasisi flani nilianzia kazi mkoa A na mwanzoni mwa mwaka jana nilihamishiwa mkoa B.Huko mkoa B nimekutana na mfanyakazi mwenzangu ambaye...
Wakuu Kwa wale wenye kutunza memory mwezi wa 11 niliwai toa attribute za mabinti wawili Kati ya mnyaturu niliekua naye chuoni ambaye hakutaka tuende kwao kutambulika nikaamua kujiongeza nikampata...
Wakuu juzi kati nilipata safari ya kwenda mafunzo nje ya nchi -(Kwa wazungu), wakati nikiwa kule nikakutana na mtoto mmoja nilishakutana nae kwenye kikao hapa bongo, yeye huko ndiko kwao...
Salam kwenu wana JF ,
Leo nina tatizo ambalo naomba msaada wenu kimaombi na kimawazo pia.
Nimeolewa miaka 7 iliyopita mwenyezi mungu katujaalia twins wa kike na wa kiume.
Muda wote wa mahusiano...
habari wadau..
kwa uchunguzi wangu usio rasmi.. nimegundua wanaume wengi hawafurahii ndoa zao.. wanaona kama kuoa ni kosa kubwa..
Ukiwa bwana mdogo around 20s au hata early 30s ukienda kwa...
Siku hizi ukimtongoza msichana kitu cha kwanza anachofikiria ni kwamba unataka kumuoa kitu ambacho sio kweli.
Binti akimaliza chuo atahangaika kutafuta ajira lakini akiona ajira haipatikani basi...
Nimekuwa mwoga kidogo kuleta mada huku hasa jukwaa hili, tumezoea kule juu. si unajua tena na hizi "VERIFIED USER". Majanga si kitoto......
Back to my topic. Nimekuwa najiuliza sana, kila mmoja...
Mwanaume anaoa
Mwanamke anaolewa
Kwa maana nyingine ni kuwa:Mwanaume anatenda na mwanamke anatendwa.
Ukisikia mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake kuwa unapenda vya bure utaolewa wewe...
Nina mpenzi wangu ninampenda lakini ananitia waswasi sana anatabia ya kusifia sana rafiki zangu hasa ambae nafanya nae kazi kada moja ya uhasibu yeye binti ni mwalimu sasa jamaa yangu anaasili ya...
Nimeshindwa kabisa kujua nn cha kufanya, isitoshe nina upunguvu mkubwa sana nguvu za kiume yaani nikiingiza tu namwanga halafu siwezi tena kuendelea na show, just imagine hawa mademu wote wamekuja...
Kwanini wanawake bikra wanakua wagumu kukubali uwatie mpaka utumie nguvu kubwa kiasi kwamba munapigana?
Ili kuepusha mvutano huo njia gani rahisi inasaidia kutoa bikra ya demu aliekua ni mbishi...
Wanaume
waaminifu tupo,
ila tatizo letu
hatuna fedha
Mke na mume waligombana, nyumba ikageuka kuwa uwanja wa vita ya tatu ya dunia. Kila mmoja anamtupia mwenzie nyuklia za maneno lakini mwanaume...
Habari wa jf jami Mimi hua navutiwa na chura kwa hawa viumbe Sasa juzi nikakiona kiumbe kimoja hivi nikashawishika na umbo lake nikasema Nacho kama siku kadhaa kikakubali kunitunuku penzi Baba...
Walikuwa wapenzi kwa muda wa mwaka1! wakaja kutofautiana na kutengana kwa mwaka mzima,kila mtu alishika lake, baadae wakakutana waka solve prblm zao wakarudiana, mapenzi moto moto tukatangaziwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.