Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari wanajamvi Mimi ni binti nina mpenzi wangu na tunapendana sana tatizo linakuja akipost picha za rafiki zake wa kike kuwatakia heri ya siku ya kuzaliwa naumia sana na nakua na wivu wa ajabu...
8 Reactions
234 Replies
22K Views
Briiiiiiiiii! Who else!??? Ni yuleyule KING OF THE JUNGLE!!! Narindima humu jamvini mithili ya SIMBA awepo nyikani! Anaandika kipepe.... Aseeeee! Ebaanaaeee sisi wanaume a.k.a mamen tunapenda...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Picha hii ilipigwa mwaka 2013 katika mbuga ya wanyama ya Maasai Mara, nchini Kenya na mpiga picha za wanyama (wildlife photographer) Alison Buttigieg, na ilishinda kuwa picha bora ya mwaka katika...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Naitwa Comrade, ukiniita kipepe utakua hujakosea! Ukiniita KING OF THE JUNGLE au MAJITU MWITU MSITU"! utakua sawa pia. . wayaaaaaa kama umeme!!! Ebanaeeee! Napenda sana mwanamke awe ana miguu...
4 Reactions
162 Replies
17K Views
Kama Mwanamke Anaweza Kumsaliti Mwanajeshi Anayeshinda Kila siku na mabomu, sijui vifaru, sijui Bunduki AK 47, Smg na maroket.....Brother Vp ashindwe kwako na kalesen kako ka bodaboda ....? My...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Natafuta msichana aliyesomea mambo ICT mwenye uzoefu wa kufanyakazi za stationary
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeshangazwa na taarifa za mwanaume kumuua mwanaume aliyemkuta akimgegeda mke wake huko Geita. Poleni wote mlio fedheheshwa na taarifa hiyo. Nirejee kwenye kiini cha uzi huu, naona ni bora watu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Aslm alykm natafuta mke wa kuowa awe na umri kati ya miaka 30 hadi 25 umri wangu miaka 36 dini muislam na yeye awe muislam kabila asiwe mchaga tabia nzuri hata kama ana mtoto mmoja sio mbaya alie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO Mambo ya kuwalea watoto kizungu zungu mwisho ulaya, Afrika utamaduni wetu ni kuadhibu watoto pale wanaporudia kosa. Si ajabu haya mambo ya kulea watoto kizungu ndo...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu, weekend imekaaje?? Wanasema kipenda roho hula nyama mbichi Binafsi hakuna mwanamke anaenitoa udenda hasa akiwa ana hips, kifua kizuri , shape flan hv na awe mweupe jaman...
2 Reactions
79 Replies
7K Views
POKEA_SALAM_ZANGU. . 1) Mwanamke Elimu Kazi Pesa na Mali zako haziwezi kukufanya uwe mke BORA katika ndoa yako bali ni heshima Kujali hekima na busara zako kwa Mumeo. . 2) Mwanamke anae muheshimu...
8 Reactions
63 Replies
6K Views
Habarini waungwana, Napenda kuwashukuru walionifungia tangu 2017 na kufunguliwa 2018 February kisha kufungiwa hadi leo kuweza kuandika chochote hapa jukwaani. Kiukweli nilishi km nipo nyikani...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wasalaam wana jamvi ! Sorry, hapo juu kwenye headline kuna makosa ya kiuandishi. Tuachane na hilo. Leo uchunguzi wangu umekamilika baada ya kushuhudia dada mmoja ana jitakia happy birthday mara...
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Magic System~Gaou lyrics from Abidjan Ivory Coast It's when I was down that the girl Antou left me When I had little Morning, noon, evening We were together At the "Rue Princesse" At the "Mille...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
http://ezzin.com/the-4-sisters-took-photos-every-year-for-40-years-you-wont-believe-what-happened-to-them/7/
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Wale waliozaliwa siku hii ni watu wenye nguvu ambao mara nyingi huwa na wasiwasi na kusaidia jamii kufanikiwa kwa kutekeleza mabadiliko ambayo yatasaidia au kuwajulisha umma. Watu hawa wenye...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kujua tofauti ya mke nesi na mke mwalimu Yupi ni bora wa kuoa nesi au mwalimu?
1 Reactions
125 Replies
16K Views
HOW TO MAKE A WOMAN HAPPY: It's really not too difficult but... To make a woman happy, a man only needs to be: 1. a friend 2. a companion 3. a lover 4. a brother 5. a father 6. a master 7. a chef...
3 Reactions
44 Replies
8K Views
Katika ndoa kina swara la kutoa mahari sasa kuna utaratibu wa kuchangia mtu mchango wa mahari ili apeleke ukweni au kutafuta mwenyewe ukapeleka swari Kijana wa kwanza akatumia nguvu zake na...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
'Mwanajeshi mstaafu wa jeshi la Marekani KT Robbins, (97) ambaye alishiriki katika vita ya pili ya dunia amekutana na mpenzi wake Jeannine Pierson, 92 mfaransa waliyepoteana kwa miaka (75), baada...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Back
Top Bottom