Habari wanajamvi
Mimi ni binti nina mpenzi wangu na tunapendana sana tatizo linakuja akipost picha za rafiki zake wa kike kuwatakia heri ya siku ya kuzaliwa naumia sana na nakua na wivu wa ajabu...
Briiiiiiiiii!
Who else!???
Ni yuleyule KING OF THE JUNGLE!!!
Narindima humu jamvini mithili ya SIMBA awepo nyikani!
Anaandika kipepe....
Aseeeee!
Ebaanaaeee sisi wanaume a.k.a mamen tunapenda...
Picha hii ilipigwa mwaka 2013 katika mbuga ya wanyama ya Maasai Mara, nchini Kenya na mpiga picha za wanyama (wildlife photographer) Alison Buttigieg, na ilishinda kuwa picha bora ya mwaka katika...
Naitwa Comrade, ukiniita kipepe utakua hujakosea! Ukiniita KING OF THE JUNGLE au MAJITU MWITU MSITU"! utakua sawa pia. . wayaaaaaa kama umeme!!!
Ebanaeeee! Napenda sana mwanamke awe ana miguu...
Kama Mwanamke Anaweza Kumsaliti Mwanajeshi Anayeshinda Kila siku na mabomu, sijui vifaru, sijui Bunduki AK 47, Smg na maroket.....Brother Vp ashindwe kwako na kalesen kako ka bodaboda ....? My...
Nimeshangazwa na taarifa za mwanaume kumuua mwanaume aliyemkuta akimgegeda mke wake huko Geita. Poleni wote mlio fedheheshwa na taarifa hiyo. Nirejee kwenye kiini cha uzi huu, naona ni bora watu...
Aslm alykm natafuta mke wa kuowa awe na umri kati ya miaka 30 hadi 25 umri wangu miaka 36 dini muislam na yeye awe muislam kabila asiwe mchaga tabia nzuri hata kama ana mtoto mmoja sio mbaya alie...
MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO
Mambo ya kuwalea watoto kizungu zungu mwisho ulaya, Afrika utamaduni wetu ni kuadhibu watoto pale wanaporudia kosa. Si ajabu haya mambo ya kulea watoto kizungu ndo...
POKEA_SALAM_ZANGU.
.
1) Mwanamke Elimu Kazi Pesa na Mali zako haziwezi kukufanya uwe mke BORA katika ndoa yako bali ni heshima Kujali hekima na busara zako kwa Mumeo.
.
2) Mwanamke anae muheshimu...
Habarini waungwana,
Napenda kuwashukuru walionifungia tangu 2017 na kufunguliwa 2018 February kisha kufungiwa hadi leo kuweza kuandika chochote hapa jukwaani.
Kiukweli nilishi km nipo nyikani...
Wasalaam wana jamvi !
Sorry, hapo juu kwenye headline kuna makosa ya kiuandishi. Tuachane na hilo.
Leo uchunguzi wangu umekamilika baada ya kushuhudia dada mmoja ana jitakia happy birthday mara...
Magic System~Gaou lyrics from Abidjan Ivory Coast
It's when I was down that the girl Antou left me
When I had little
Morning, noon, evening
We were together
At the "Rue Princesse"
At the "Mille...
Wale waliozaliwa siku hii ni watu wenye nguvu ambao mara nyingi huwa na wasiwasi na kusaidia jamii kufanikiwa kwa kutekeleza mabadiliko ambayo yatasaidia au kuwajulisha umma. Watu hawa wenye...
HOW TO MAKE A WOMAN HAPPY:
It's really not too difficult but...
To make a woman happy, a
man only needs to be:
1. a friend
2. a companion
3. a lover
4. a brother
5. a father
6. a master
7. a chef...
Katika ndoa kina swara la kutoa mahari sasa kuna utaratibu wa kuchangia mtu mchango wa mahari ili apeleke ukweni au kutafuta mwenyewe ukapeleka swari
Kijana wa kwanza akatumia nguvu zake na...
'Mwanajeshi mstaafu wa jeshi la Marekani KT Robbins, (97) ambaye alishiriki katika vita ya pili ya dunia amekutana na mpenzi wake Jeannine Pierson, 92 mfaransa waliyepoteana kwa miaka (75), baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.