Nina mabest friends wa 5 katika hao 4 wamenizidi umri kidogo me Nina miaka 23 marafiki wangu wengi ni age kuanzia 32+ Kuna mshikaji mmoja ana itwa Adam ambaye nipo nae very closely amebahatika...
Habarini wanajamvi?.
Jamani nowadays sio jambo geni, kukuta mtu yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi....ila at the same time mahusiano hayo, yanaonesha kabisa HAYAPO HAI, i mean HAKUNA TENA UPENDO...
Habarini ndugu na Jamaa mliomo humu, Nina imani na hii forum ya kwamba naweza pata ushauri. Narudia tena nina imani. Wakuu in short Nina mke na tulianza kuishi pamoja mwaka 2011 na tuna watoto...
Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa...
Kama wapo nitaomba waniambie hapa Faida yake kubwa kisha waniambie ni kwanini wanataka Kushindana na Uumbaji wa Mungu ambao aliwaumba bila mbwembwe zozote zile na ‘ K ‘ zao alishazipima na...
Baba Neema alitupigia simu #116 baada ya kugundua mwanae kwa jina Neema, mwenye umri wa miaka 16 ni mjamzito na hivyo hatoweza kuendelea na masomo. Mwanzoni, Neema alisita kumtaja aliyempa...
Wasalaam wadau hapa Jamvini
Mwanaume ulieoa hebu fanya kumsaidia mkeo kazi za nyumbani kama kudeki,kufua,Kupika,Kuchota maji nk.
Muache alale na akiamka mpe hela aende Saloon.
Ni hayo tu...
Kama nilivyokuja na uzi wangu wa kuomba wenyeji kwenye baadhi ya mikoa, nashukuru nimetoka Mtwara ahsante kwa mwenyeji wangu kwa ukarimu wako, juzi wakati nipo Mtwara nikapata mwenyeji wa Dodoma...
man's first love is always selfless and unconditional.
He puts his lady above anything else, maybe above his family and friends too. But when things don't work out, he is lost.
Many stay in that...
Mimi kama mimi napenda mwanamke awe walau na sehemu ya kushika, Sasa kuna wengine wamekauka mpaka kipindi cha mchezo unakakunja na kukakaza mpaka unakaonea huruma.
Napenda pia wanawake wenye...
Wadau habarini, naombeni ushauri mwenzenu nina mpnzi wangu anaitwa Magreth tumeanza kitambo sana bt hapa kati tukaja kuzinguana kidogo ila kwa sana nipo nae
Ila kuna kitu sikiewi amenambia...
Wadada mmekua na tabia ya kuwabania sex baadhi ya wanaume ambao unais ni chaguo lako, ili akuoe.
Yaani unabana kumpa mzigo kisa ukimoa unaisi atakutema, nshakosa wadada watatu.
Yaani...
Mweusi wa asili kabisa
Mrefu kiasi
Nyuma kumebinuka kidogo
Sauti nzito flan hivi akiongea Kama anatoka usingizini
Rangi asili asiye tumia mkorogo....
Ohooooo kwakweli Mbeya sihami
Atuwene...
kuna wafanyabiashara na wafanya kazi wengi wa serikalini ambao muda wa kutoka huwa ni saa kumi hadi saa 12 jioni ambao wana maamuzi mawili, kunyoosha moja kwa moja nyumbani ama kwenda sehemu...
Tanzania kuna Dini kuu mbili yaani kuna dini ya kikristo na uislamu...
Linapokuja kwenye maswala ya mahusiano huwa kuna matabaka au changamoto pale watu wawili wenye dini tofauti na...
Kuna dada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja kiasi kwamba kutoka anapokaa yeye na mimi ni mwendo wa kama dk 5 hivi. Cha ajabu nimemwalika kwangu akaniambia tuma nauli, nikamuuliza unajua unawasiliana...
Hasa mliofikisha miaka 36 na kuendelea, msipokuwa na pesa mnakuwa hovyohovyo hamna swaga, hamjiamini kila saa kusumbuana kwa msg, mvi zinawatoka, majasho, makunyazi, munakosa nuru kunawiri kwa...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 26.Natarajia kufunga ndoa wiki ijayo Inshaallah kama mambo yataenda kama yalivyopangwa. Naomba wale wazoefu, makungwi, manyakanga, washauri...
Kuna kamsemo watu wanakasema kwamba Mungu atakupa wa kufanana naye
watu wengi wameoa either kwa kuamini huyo aliyenaye anafanana nae au labda kuoa/kuolewa kwa basi tu.
Je sisi ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.