Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Wasalaam wadau hapa Jamvini
Mwanaume ulieoa hebu fanya kumsaidia mkeo kazi za nyumbani kama kudeki,kufua,Kupika,Kuchota maji nk.
Muache alale na akiamka mpe hela aende Saloon.
Ni hayo tu wazeiya,mimi mwenyewe ningekua nimeoa ningefanya ivo.
@NgarenaroBoy
Mwanaume ulieoa hebu fanya kumsaidia mkeo kazi za nyumbani kama kudeki,kufua,Kupika,Kuchota maji nk.
Muache alale na akiamka mpe hela aende Saloon.
Ni hayo tu wazeiya,mimi mwenyewe ningekua nimeoa ningefanya ivo.
@NgarenaroBoy