Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hi guys, Hope mpo poa, Nimejikuta natamani tu kuongea na wale ndugu zangu ambao wanateseka mno na social life iwe kwa mahusiano ama urafiki.!! Kuna watu wanaishi maisha magumu mno tena kwa...
25 Reactions
84 Replies
9K Views
Ewe mwanaume kuwa na maumbo makubwa ni sifa ama ulimbukeni naomba kujua Wanawake mnawaharibu watoto wa kiume kama mnapenda madude makubwa naomben mlizike Na vile mungu alivyoumba Kila sehemu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hivi ni kweli kuna uwepo wa hawa wanawake wenye mashine za kiume? Kwa wale wadau wa 'Pilau' nadhani mtakuwa mmekutana nao wadada wenye madude na zinafanya kazi kama wanaume, sasa huwa sielewi kama...
2 Reactions
46 Replies
15K Views
"Sweetheart please usichomoe "BETRI" naomba niendelee kuchota "MAFUTA"
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanawake (walioolewa na ambao hawajaolewa) nawashauri muache kuoneana wivu na kuchukiana kwa kutupigania wanaume. Inaeleweka kabisa sisi wanaume tuko wachache nyie mmejaa telee hivyo mwanaume...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu,kuna kitu nmekumbuka hapa baada ya kusoma uzi wa ushimen. Well,hili nmelishuhudia zaid ya mara ya 4 sasa.hawa mabint skuhiz Mnaweza kunywaa weee mi bia mwisho wa siku mkitaka kuanza...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Poleni kwa majukumu naombeni ushauri Ninae mwanamke, katika pekuapekua ndani nimefumania kijitabu chake ameandika wanaume zake wote aliotembea nao ni zaidi ya hamsini sasa wadau huyu atanifaa kweli?
3 Reactions
159 Replies
11K Views
Kakukorofisha,ukorofi unaojirudia mara kwa mara, mwisho wa siku unaamua kumwambia humtaki tena umeshachoshwa na tabia zake,anaomba msamaha lakini bado unashikilia msimamo wako "UMECHOKA HUMTAKI...
1 Reactions
69 Replies
8K Views
Siku zote mwanamke hawezi pata mwanaume aliye sahihi. 1. Ukimkuta handsome; kichwa chake ni empty set (in the list voice) 2. Ukimkuta genius; yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic...
17 Reactions
211 Replies
13K Views
Tujadili namna ya Ku handle hisia zetu mapenzi Kwa sasa ni pasua kichwa Bora kutafuta pesa mambo mengine ukiona huyaelewi upumzike Wadau tupeane mbinu sasa vipi tutaweza ishi bila kufanya...
1 Reactions
19 Replies
45K Views
Wanaume wengi wanao date wanawake wenye sura na muonekano mbaya wanakuwa na low self esteem. Wanakuwa hawajiamini wanahisi kama muda wowote akitokea mtu anayemzidi pesa au power anaweza kuachwa 😂...
4 Reactions
114 Replies
13K Views
‘Elimu ni ufunguo wa maisha.’ ni usemi wa enzi utumikao kuhamasisha watu wapate elimu. Katika miaka ya hivi karibuni shule zimekuwa nyingi sana zenye kufundisha mambo mengi na kila mzazi anataka...
0 Reactions
1 Replies
730 Views
Jmani habari za Jumatatu. Kuna mdada hapa anasema tangu aanze mchezo amekutana na wanaume wawili ndio wamemgegeda Nikasema sawa. Lakini Nami nimemgegeda cha kushangaza K Imeharibika sana (Kubwa...
8 Reactions
104 Replies
15K Views
Upweke ni mtihani Sana usimbe takukute Sio kwamba utongozi au utongozwiii rahashaaa inachotokea unakosa wa kufanana nae Sijui lini nitapata wa kurushiana mito chumbani
8 Reactions
143 Replies
10K Views
Huko dar mtawekewa device ambayo mta shikwa live mkichepuka jamani hii nzuri walete arusha wanaume za watu wakome kuchepuka nakupeleka matumizi mengine natamani tuone itaendaje hili sakata finaly...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Toka mdogo nasikiaga uchawi ,ushirikina ,,mbona sijawahi shuhudia zaidi ya kusimuliwa na msimuliaji ukimuuliza nae hajaona alisimuliwa tu,,hivi inakuwaje haoa kuaminishwa vitu ambavyo hujawah...
3 Reactions
86 Replies
17K Views
Ukisikia fainali uzeeni ni fainali kweli kweli sio mchezo kama mwenyezi Mungu akikujalia kufika huko! Ni kipindi ambacho unaweza kukuta mkeo amekukimbia na watoto wote uliojibana kusomesha shule...
4 Reactions
2 Replies
3K Views
Salam kwenu wakuu.Kwakua leo ni j'pili na wengi wetu tupo katika hali tulivu nawaombeni kwaheshima tushirikiane kujadili hili suala ambalo kwa imani yangu naona jibu lake ni muhimu sana kwa jamii...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Huwezi kuamini, amempora dada yake tonge mdomoni dakika ya mwisho kabisa. Nilipata kufahamiana na Angela. kwa kweli alikuwa mzuri sana nilimkubali kila kitengo. Ila ukweli yeye ndo alidata...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom