The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,531
- 1,733
Kuna dada mmoja tunaishi nae mtaa mmoja kiasi kwamba kutoka anapokaa yeye na mimi ni mwendo wa kama dk 5 hivi. Cha ajabu nimemwalika kwangu akaniambia tuma nauli, nikamuuliza unajua unawasiliana na nani akasema ndio.
Nikamuuliza nauli ya nini sasa akashindwa cha kujibu akajionea aibu mwenyewe. Nikamwambia mimi mwanamke ambae hana nauli huwa simtaki nikamblock.
Huwa nakerekaga sana na hako kaneno, wanawake badilikeni
Nikamuuliza nauli ya nini sasa akashindwa cha kujibu akajionea aibu mwenyewe. Nikamwambia mimi mwanamke ambae hana nauli huwa simtaki nikamblock.
Huwa nakerekaga sana na hako kaneno, wanawake badilikeni