shadownet
Senior Member
- Aug 4, 2015
- 133
- 674
kuna wafanyabiashara na wafanya kazi wengi wa serikalini ambao muda wa kutoka huwa ni saa kumi hadi saa 12 jioni ambao wana maamuzi mawili, kunyoosha moja kwa moja nyumbani ama kwenda sehemu kuoteza na kusogeza muda ili wafike nyumbani usiku, pia kuna ambao hufanya shughuli za kujiendeleza kama kusoma ama kufatilia miradi yao.
hao kundi la pili ambao wanapoteza muda mara nyingi wakitoka kazini wanaenda bar kujibutua, wanaenda kwa michepuko yao kuomboleza kifo cha mende, wanaenda kubeti, n.k pia kuna wengine husogeza muda bila kutenda dhambi, hawa huenda kufanya mazoezi, kucheza draft, n.k
JE, WEWE UKITOKA KAZINI UNAENDAGA WAPI