Seli za ngozi zinazotengeneza UKE ndizo hizo hizo zinazotengeneza MDOMO wa mwanadamu.
Wanaochezea kule nyuma, hawaijui hii sayansi na ndo maana wanachezea uwanja usio na uwiano wala mfanano, na...
Habari wana jamvi:
leo tena nimekuja na jambo hili linaloniumiza moyo sana lakini sina namna ya kuepukana nalo.
Mimi ni kijana wa kiume,
Nina rafiki yangu wa kiume tuliyodumu katika urafiki...
True friend is like a penis, he stands up for you in times of need. A genuine friend is like a bra, she supports you at all times. A faithful friend is like a condom , he protects you from all...
Habari ya muda huu.
Nataka tukumbushane kidogo, maana tumejisahau, kila ndugu msomaji hapa kwa namna moja au nyingine atakua anamiliki kimoja wapo Kati ya flashi au kompyuta, na kama una miliki...
Umeoa au kuolewa,una mchumba au hata hawara,mmeshibana haswaaa,Lakini hapo mtaani kwako kuna watu wawili ambao walikuwa na mahusiano na mtu wako kabla yako,Je unajisikiaje unapowaona watu...
Habari,
Kama wewe ni mdada mrembo ambaye unahitaji mtu wa kukuliwaza, kampe, story + outing kukutoa stress na kukufanya uwe na Furaha na kujua dhamani yako naomba PM tuongee zaidi,
NB: sio kwa...
Moja kwa moja kwenye mada, nimeoa sasa Nina miaka 25 kwenye ndoa, wanawake sijui nani kawavuruga ila mnavuruga ndoa zenu wenyewe.
Mi sio Mtoka nje ya ndoa kabisa ila kama kuna siku yanatokea hayo...
Kwanza kabla ya kusema lolote ningependa kujipa hongera Mimi mwenyewe kwa kumuokoa mwanaume mwenzangu (baba Nasma) kutoka katika ndoa yake ambayo kwa asilimia kubwa alikuwa anasalitiwa na mke wake...
Wazima jamani,
Naombeni ushauri,
Nina rafiki yangu anaishi na mpenzi wake Mslamu na yeye ni Mkristo ila hawajafunga ndoa wala limekuja Ramadhan hii mwanaume kafunga kamwambia mpenzi wake...
Nisaidieni hapa kwann mama akifiwa na mme wake watoto wakubwa hawataki mama yao aolewe?
Sasa mi niwaambia yeye anahisia km wewe ,anahitaji faraja sana ambayo we huwezi mpa..
Nitarudi.......
Sent...
Nawasalimu wadau, wote kwa ujumla popote pale mlipo.
Kama ambavyo ilivyo title ya Uzi huu hapo juu, inajieleza yenyewe waziwazi.Natafuta mwanamke wa kuwa naye maishani, awe na sifa zifuatazo...
Hii tabia ya wadada/wamama kuanika nguo zenu za ndani hasa vyupi hovyo kwenye kamba mtaacha lini?
Maana kunakua na kero kuviona vyupi vikielea tu kwenye kamba hasa hizi nyumba za kupanga yaan...
Habari wakuu
Kuna binti flani kamaliza chuo mwaka jana
Tulikua nae kwenye mahusino kama mwaka hivi kabla ya kutengana mwaka juzi mwishoni baada ya kugundua kuwa kuna baadhi ya vitu sivipendi...
Wanaume tukipataga demu asiyeomba hela ovyo ovyo huwa tunatulia sana!!na hata siku akija kupata shida ya hela huwa tunapambana kadri ya uwezo wetu ili kumsaidia.
POLENI NA MAJUKUMU ( ee, MUNGU nisaidie)
Mimi ni kijana ambaye utoto wangu nimeishi maisha ya uyatima nasema hivi kwa kuwa tangu nizaliwe sijawahi kumwona mama wala sijui baba yangu anafananaje...
Wakuu leteni uzoefu
Mtu alikuwa ni mke wa mtu kwa ndoa ya kanisani kkkt, anataka kuolewa tena, na mahari itolewe imekaaje hii? walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.