Wakuu haya maisha unaweza pata kila (material things) na bado furaha usiipate. Mara nyingi huwa nacheka sana watu wanapopewa ushauri wa tafuta pesa baada ya kutendwa.
Nikirudi nyuma katika wakati...
mwanamke ambaye ni rafiki tu wa kawaida mnapiga stori pamoja za hapa na pale, siku akakuletea tunda liitwalo apple akakupatia kwa niaba ya zawadi
Ni nini anacho maanisha
Tunda aina ya apple...
AMANI katika uhusiano ni hitaji la kila mmoja. Kila mtu akiwa na mtu ampendaye, kumjali na kumpa kipaumbele ni kitu cha kawaida katika maisha yake. Ila vipi ukiwa na mtu unayempenda sana ila yeye...
Bro wangu mmoja amefunga ndoa juzi juzi tu lakini amezaa nnje na mabinti wawili kwa mpigo.Watoto wote wana mwaka mmoja sasa mmoja wa kiume na mwingine wakike.Mkewe anamjua mmoja tu wakasameheana...
Kuna siku marafiki tutatengana hatutaonana tena wala kuwasiliana.[emoji181]
Wengine umri utakuwa umeenda[emoji803] sana wamekuwa wazee na wengine hawatakuwepo duniani.
Tutakumbuka tulivyokuwa...
Hello jf member, naitwa Adamson,natafuta mke wa kuoa tunaanzia urafiki mpk kuoana,umri wangu Ni miaka,32,Mkristu,
Mke anaye takiwa awe na umri miaka 26-30 mwenye hofu ya Mungu.Awe anaishi...
Tukitaka mapenzi ya enzi za mama zetu ya rudi na hawa wanawake watupende na kuheshimu wanaume bila kujali ile zana ya 50_50 imewaathiri vipi, njia sahihi ni kwa wanaume wote kuadhimia kuto wapa...
Kwa mwanamke-Baada ya kuambiwa na madaktari kwamba huna uwezo wa kushika mimba,je ni afadhali aoe au azae na yupi kati ya hawa wawili house girl au ndugu yako?
Kwa mwanaume-Baada ya kuambiwa huna...
Leo nimekumbuka mbali sana kipindi kilee cha mkwele(kikwete),
Wanaume tulikuwa tunahonga kiasi cha wanawake kuwafanya wawe Viburi kwa apeche aloloo,
mwanaume ilikuwa kama huna pesa basi huwezi...
Nina Mke na mtoto we wa kike. Jana nimetoka kucheki mpira wa Arsenal vs Watford . Narudi namkuta wife kashafunga mlango ananiambia rudi huko huko mbona unanijia usiku. Nikarudi zangu kulala kwa...
Mambo vipi wadau?
Nliwamiss sana [emoji7] baada ya kula BAN la maana la mwezi mzima[emoji287]
Mfano umeenda kukutana na mpenzi wako mpya ambaye ndo kwanza amekualika mkutane faragha na unahisi...
Mke wangu mjamzito anasumbua mashariti kibao sijui atajifungua lini mtoto wa kike au kiume sijui jinsia gani mungu ndo anajua kila kitu kilichobaki kumshukuru yeye mungu baba wa mbinguni mungu wa...
mke wangu mjamzito asa sitaki apate tabu kufanya kazi nimeona nimeongezee house girl wa pili asaidie kazi.
sitaki mke wangu afanye kazi mwisho wa siku mimba ikaharibika ndo mana nimeweka...
habari za saizi wakuu kuna bidada mmoja anakaa mtaani kwetu amepanga nyumbani kwa mshikaji wangu anaishi kwao nyumba ya tatu kutoka ghetto na ni mgeni katokea kyela, bidada kaumbika hatari...
Mara nyingi Wadada wanaoomba pesa k.v elf 20, elf 10 mara kwa mara na siku chache baada ya kutongozwa na mwanaume, kabla hata ya kutoa papuchi, wanalalamikiwa sana na wanaume humu ndani..
Sasa...
Nimeskia Kuna kabila Fulani mjini Arusha Lina sifa ya kua na mabinti warembo Sana
Mabinti hao wakitoka makwao kuja mjini Arusha wakifika mto wa mbu huwa wanavua chup ndani ya gari na kufungua vioo...
Mwanaume anaumizwa mara moja tu na mapenzi bhasii baada ya Hapo unakuwa mzoefu kuhusu huu upuuzi unaitwa Maumivu ya mapenzi. Ukiona unaumizwa na mapenzi zaidi ya mara moja bhasi una KASORO...
Utamkuta mdada wa watu anabetua domo lake huku amebana pua anaropoka "I need to marry a God fearing man" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada kuwa serious basi hata kidogo, unataka "God...
Jamii tunayoishi kwa asilimia kubwa inaamini uzazi wa mpango ni kwa ajili ya wanawake tu, kumekua na changamoto nyingi sana pale wanaume wanapoambiwa wao pia wanaweza tumia njia ya uzazi wa mpango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.