UNIQUEMAN1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 378
- 448
Nina Mke na mtoto we wa kike. Jana nimetoka kucheki mpira wa Arsenal vs Watford . Narudi namkuta wife kashafunga mlango ananiambia rudi huko huko mbona unanijia usiku. Nikarudi zangu kulala kwa mshkaj wangu. Mpaka sasa nipo kitaa. Hajaniulizia hata nimelala wapi, Nahisi Kama hanipendi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app