Utashangaa na itakushtaajabisha lakini ndio yametokea.
Huyu brother mke wake ni mtu wa Tanga ,na yeye ni mtu wa Kaskazini,ila maisha yake ni Darslam.
Ni kipindi kirefu tangu alivyo oa,hakufika...
Habari za asubuhi.
Nimekaa zangu hapa nimejinywea chai yangu na mihogo /malala chini/ mato.....mba aridhi.
Basi baada ya kushiba ipasavyo, kuna kawazo kakanijia hapa kichwani mwangu nikajiuliza...
Salaam wana Jf
Mimi ni kijana umri wangu miaka 25,
Nipo katika hitaji la mwanamke ambaye tutaianza pamoja safari ya mahusiano kisha ndoa hapo baadaye...
_Awe muislamu
_ Awe na miaka kati ya 21...
Habari za Siku nyingi hapa Jf
Nimepotea kwa muda mrefu kiasi kwa sababu ya majukumu na kakala za maisha ya hapa jijini, lakini kwa muda wote huo takribani miezi 8 mpaka 10 nimefanikiwa kutoka na...
Wadau habari zenu,kwa kweli nimeishi na familia mbalimbali hadi umri huu nilipofikia kitu ambacho nimegundua ndoa nyingi wanandoa wanavumilana kwa ajili ya kulea watoto vinginevyo rate ya watu...
Wakuu habr zenu,
Hizi siku nmekuwa adimu sana hasa mambo ya kimaisha sio oficin sio wapi full stress. Since j3 nimepokea taarifa kutoka kwa bint kuwa ni anamimba yangu nikachukulia simple...
Wakuu ile kukuru kakala na mtoto wa diwani atimae siku ndio imefika,
Baada ya kusota sana central na kulazimishwa kumuoa atimae kesho ndio siku yenyewe,
Kesho ndio siku iliyopangwa nikatoe...
Wana MMU, wazima wote!?
Nimeleta swali hilo ili niweze kufahamishwa na wataalamu, hususani wa kisaikolojia.
Kwanini wanadamu sisi, wake kwa waume tunakuwa na wivu mkali unaopelekea hasira...
Eti unajiita baharia baharia gani hunuki hata mdomo? Baharia kuoga mara tatu kwa siku baharia anatakiwa anuke kwapa, et baharia anuki chochote!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kuna ukweli wowote kwamba mwanamke(baadhi yenu) akijifungua mpaka mtoto kufikia umri wa miaka (2-3) akawa hana hamu ya tendo/kufanya sex yaani kupoteza kabisa hisia?.
Wanawake naomba majibu
Wengi humu ndani mmewakariri baadhi ya wanawake tunaobishana nao kwenye threads tofauti ila ukwel wa mambo wanawake wazur humu jf huwa hawachangii mada kazi yao kusoma na kulike bhasi.
Narud kwa...
Habari za wakati huu..
Nawasilisha hivi nyinyi wanawake mnaowatega wanaume kwa kuwapanulia mapaja yenu na kuinama inama huku nakule ili mjiache wazi kwa lengo la kumnasa mwanaume . Nawaambia hivi...
Kama kuna mtu humu hajawahi kuwa na mchepuko aseme[emoji19]
Mie naona hili suala tulipitishe na tulihalalishe ili kila mtu amuweke wazi mchepuko wake kwa mwenza wake!
Isitokee tena ndoa kufa...
Siku moja nilikuwa safari katika mji fulani, nikafikia kwenye hoteli moja Y.Baada ya kulipia chumba nikaona bora kwanza nioge ili kupunguza uchovu;nilipotazama kwenye meza pale chumbani nikakuta...
Ww kijana mwenzangu ambae umeathirika na upigaji wa punyeto na picha zangono na umeoa unahitaji kuimarisha ndoa yako basi usisite kunitafuta na kukupatia dawa ambayo ambayo itakusaidia Kwa...
Salaam wakuu?
Je, ni sawa baba anapokaa na watoto wake ambao bado hawajaoa au kuolewa na kuwahadithia jinsi yeye alivyoanza kumtongoza mama yao hadi alipofanikiwa kulala nae, na zaidi kuwataja...
Nawauliza nyie wadada...kwa nini mnapokuwa kwenye mahusiano kabla ya kuolewa huwa mnatoa ushirikiano mzuri,sarakasi za kila namna mpaka mwanaume anashawishika kukuweka ndani.Lakini baada ya kuishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.