Huu ndio Ukweli

Huu ndio Ukweli

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,170
Reaction score
43,976
Mwanaume anaumizwa mara moja tu na mapenzi bhasii baada ya Hapo unakuwa mzoefu kuhusu huu upuuzi unaitwa Maumivu ya mapenzi. Ukiona unaumizwa na mapenzi zaidi ya mara moja bhasi una KASORO!

Kuumizwa na mapenzi zaidi ya mara moja achia wanawake hao ndo hulia kila siku kuhusu mapenzi.

Imeishaa hiyo.
Screenshot_20190925-103215_WhatsApp~2.jpeg
 
Mwanaume anaumizwa mara moja tu na mapenzi bhasii baada ya Hapo unakuwa mzoefu kuhusu huu upuuzi unaitwa Maumivu ya mapenzi. Ukiona unaumizwa na mpenzi zaidi ya mara moja bhasi una KASORO!

Kuumizwa na mapenzi zaidi ya mara moja achi wanawake hao ndo hulia kila siku kuhusu mapenzi.

Imeishaa hiyo.View attachment 1224819
Kweli kabisa mkuu, mimi tokea niumizwe zamani hizo, sijawahi kuumizwa tena. Sasa hivi nimekua nunda.
 
Ukilinganisha na kaleeee ka story kako ulikokuwa unahudumia mimba ya kidume mwenzio[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakumbukumbu wewe huwezi amini yule mtoto nimepewa na anatumia jina langu aiseeeee
 
Mama zenu nao Babu zenu waliwashindwa wakaamua kuwabadilisha na Mbuzi
Na katika mlolongo huo nyinyi mkazaliwa ili mje kukashifu wanawake.. nanyinyi mtawashindwa binti zenu mtawabadilisha kwa Ng'ombe
 
huo ndio ukweli! na mwanaume hutakiwi kuogopa vita unabadilisha jinsi ya kupigana vita
 
Back
Top Bottom