MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,131
- 3,911
Bro wangu mmoja amefunga ndoa juzi juzi tu lakini amezaa nnje na mabinti wawili kwa mpigo.Watoto wote wana mwaka mmoja sasa mmoja wa kiume na mwingine wakike.Mkewe anamjua mmoja tu wakasameheana yakaisha lakini huyo mmoja bado hajulikani kwa mkewe hata hivyo bado hawajajaliwa kupata mtoto wala mimba.
Yupo kwenye wakati mgumu sana maana huyu aliezaa nae ambae hajulikani ndugu zake wameanza kusumbua.Anauliza afanyeje?
Yupo kwenye wakati mgumu sana maana huyu aliezaa nae ambae hajulikani ndugu zake wameanza kusumbua.Anauliza afanyeje?