ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 639
Kwa mwanamke-Baada ya kuambiwa na madaktari kwamba huna uwezo wa kushika mimba,je ni afadhali aoe au azae na yupi kati ya hawa wawili house girl au ndugu yako?
Kwa mwanaume-Baada ya kuambiwa huna uwezo wa kutungisha mimba ,je mkeo azae na yupi kati ya hawa wawili house boy au ndugu yako?
Kwa mwanaume-Baada ya kuambiwa huna uwezo wa kutungisha mimba ,je mkeo azae na yupi kati ya hawa wawili house boy au ndugu yako?