Kipi afadhali akifanya mumeo/mkeo?

ndandambuli

JF-Expert Member
Jul 2, 2017
948
639
Kwa mwanamke-Baada ya kuambiwa na madaktari kwamba huna uwezo wa kushika mimba,je ni afadhali aoe au azae na yupi kati ya hawa wawili house girl au ndugu yako?
Kwa mwanaume-Baada ya kuambiwa huna uwezo wa kutungisha mimba ,je mkeo azae na yupi kati ya hawa wawili house boy au ndugu yako?
 
Jamani ameuliza mbona mnamshambulia kwa matusi? haifai hata shetani anawashangaa
 
Back
Top Bottom