Ubishi na tamaa vilitaka kuniponza!

Ubishi na tamaa vilitaka kuniponza!

G_real

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2019
Posts
684
Reaction score
857
habari za saizi wakuu kuna bidada mmoja anakaa mtaani kwetu amepanga nyumbani kwa mshikaji wangu anaishi kwao nyumba ya tatu kutoka ghetto na ni mgeni katokea kyela, bidada kaumbika hatari kila nguo akivaa ni majaribu kwa vijana na nimemuwinda wiki tatu mpaka nikapata namba yake ya simu nikajenga nae mazoea nikamtongoza akawa ananikwepa sababu kibao mi nikajua anakaza kwenye simu tu nikamfwata live maskan alipo panga na anakaa na dada ake, siku hiyo dada ake hakuwepo nikaingia mpaka chumbani nikamchezea saana akalainika ila ku sex akagoma katakata ikabidi nimkaushie tu. juzi mshkaj wangu kanambia aliingia chumbani kwa huyo bi dada kakuta dawa ARV kanambia mi nikabisha katakata mpaka nikahisi labda mshkaji ananionea gere tu, sasa jana usiku nilikuwa nachat na bidada nikamuomba mechi, akaanza kunikwepa kwepa mpaka nilipo mbembeleza akaamua aniambie ukweli kuwa ni muathirika ana HIV namimi ananionea huruma asije akafanya nikajuta.. mpaka saizi siamini kama ndo nimelikosa bigbooty lake...
 
siku hizi HIV imekuwa rahisi ivo hadi vidonge viwekwe peupe ivo yaani unaingia chumbani unavikuta (kwamba ni mapambo).

akanambia ana HIV kwamba unyanyapaa umeisha kiasi hicho hadi akwambie kizembe ivo.

kifupi unamtaka sema una hofu anaweza kuwa kawaka ndo unaleta stori kujifariji
 
siku hizi HIV imekuwa rahisi ivo hadi vidonge viwekwe peupe ivo yaani unaingia chumbani unavikuta (kwamba ni mapambo).
akanambia ana HIV kwamba unyanyapaa umeisha kiasi hicho hadi akwambie kizembe ivo.
kifupi unamtaka sema una hofu anaweza kuwa kawaka ndo unaleta stori kujifariji
nikweli mkuu ila nimeandika kiufupi tu lkn mpaka amefikia hatua ya kunambia amenizungusha saana mpaka mwenyewe nikawa na hofu
 
Tukisema hiyo ndiyo mbinu yake kuwakimbiza nyinyi wazamiaji mtabisha?

Ukweli nikupima tu..... .

Yaweza kuwa anawatimua kiakili tu.
 
ko mkuu unanishauri nikaingize afu nisubiri matokeo bada ya 3month ndo ndajua kama kweli au uongo

Mshawishi muende mkapime wote wawili

Maana nifaida kwenu nyote

Then mnaweza kuendelea na yatakanayo huko hospitality.
 
Ewe kijana wa kiume usitamani mbunye usiyojua historia yake...

Kuchomeka chomeka hovyo mtaishia kuzamisha mashine zenu kwenye mzinga wa nyuki wadogo...
Hii kitu nimeichukua kama ilivyo kwa marefu na mapana.
Vijana watakaoitumia hii comment wataokoka na mengi
 
Back
Top Bottom