Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Utafiti uliofanywa na wizara pamoja na taasisi ya taifa ya magonjwa ya binadamu unaonesha asilimia 24% ya watu wa kinodnoni wana tatazo la nguvu za kiume huku chanzo kikubwa ikiwa ni uzito...
2 Reactions
22 Replies
7K Views
Kuna visa vingi vinatokea huku mitaani vya "kupigwa mtungo" vya wadada waliokula Pesa za watu lakini "papuchi" hawatoi. Mtu unamlia Pesa yake lakini akiuomba mechi unampiga kalenda na kuwapa...
5 Reactions
72 Replies
5K Views
Je, tangu uanze mapenzi ulishawahi kuwa na mtu ambaye ulimpenda kwa moyo wako wote hadi ukawa kipofu kwa yote mabaya uliyoyaona kwake, ukawa kiziwi kwa yote mabaya uliyoyasikia kwake lakini...
1 Reactions
54 Replies
6K Views
Amani kwenu waungwana, Kwa wenye mahusiano ya kinyumba kwa muda mrefu na umezaa nae Mtoto/watoto, Jambo lipi la msingi linaweza kumpa sababu mwanaume kukawia kumpeleka mwenzi wake madhabahuni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Imetokea Temeke juzi kipindi CCM wanafanya kura za maoni ndani ya chama chao. Jimama moja la CCM zuri zuri lenye msambwanda wa maana nene nene jeupeeee liliamua kugawa papuchi mtaani ili...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Salamu kwenu members Me Nina mpenzi wangu ananipenda na me nampenda sana na tunaishi kwa upendo Sana na ananiheshimu na anatabia nzuri, mkarimu ila tatizo lake linaloniudhi ni mavazi yake hayana...
3 Reactions
145 Replies
13K Views
Wanawake kwa wanaume mje hapa kuna kikao cha dharura: Enzi zetu tulikuwa na msemo unasema "Mwanamke hasomeshwi, utaja kujiua". Naona sasa huu msemo umegeuzwa na kizazi cha sasa na kuwa "Mwanamke...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
Natafuta mke wa kuoa umri wa miaka 30 - 45, mke wangu marehemu ameniachia watoto kadhaa ni wakubwa na wadogo wasiliana nami inbox
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jana nilibet nikashinda sh 35,000. Mida ya jioni nikaingia kitaa huku nikivimba, demu wangu si kaniona akaniomba sh 5000 kwa jeuri nikamgea sh 10000 huku natabasamu. Dah uwezi kuamini alicho...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
Huku tunapoelekea jamani, tunafanya mizaha mingi lakini tunapaswa kuwa serious kwa wenza wetu. Wanawake hatupaswi kumkubali mtu kwa sababu ya misaada yake au pesa zake, siku tukisimama kwa miguu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika familia moja ya ndugu yangu,kuna ugomvi mkubwa umetokea Katika mzozano huo wakaanza hadi kupigana ambapo mwanamke alianza kupiga kelele akiomba msaada kutokana na kipigo cha mmewe...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Maisha haya bila kuwa na kipato ni tabu tupu, kupata tendo la ndoa itakuwa ngumu sana,kwa sababu wenzetu wanatumia kama kitega uchumi,'something 4 something'.Ngoja tuendelee kupiga chabo tu.
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Grace (jina sio halisi) ni mhadhiri mahala fulani, alikuwa na mwana mme ambaye waliishi kama mke na mume japo hawakuwa na ndoa. Wote wanafundisha Chuo kimoja. Walikuja kuachana na huyo mwanamme...
14 Reactions
51 Replies
6K Views
Habari wana jamvi tafadhali soma attachment
0 Reactions
6 Replies
3K Views
1.Kulipiza kisasi kwa mpenzi aliyekusaliti au uliyeachana naye. 2.Kuishi mbali na mpenzi wako 3.Kazi za kusafiri/transfer mikoani ambako utaishi kwa kipindi fulani na kuhama tena. 4.Dhana...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Natumai hamjambo wakuu, na wengi wetu tupo kwa usafiri kuelekea job, basi si vibaya tukashare kidogo katika hili. Binafsi kila tulipofanya ligi niliibuka mshindi ili nionekane kidume. Je...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
anaitwa madam salome haule miaka ya 2000's alifanyia kazi huko bariadi kama mwalimu (msingi),nikiwa shule ya msingi alinifundisha na alihama yeye na familia yake (mume na watoto wake) miezi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anaitwa Madam salome haule Miaka ya 2000's alifanyia kazi huko Bariadi kama mwalimu (msingi). Nikiwa shule ya msingi, alinifundisha na alihama yeye na familia yake (mume na watoto wake) miezi...
0 Reactions
2 Replies
997 Views
Moja ya sababu kwamimi kuwa member JF ilikuwa kupunguza upweke, nilitamani pia sana kuanza ku- socialize tena! Kuna wakati niliishi kama kisiwa, sikuwa na watu wa kuzungumza nao nikaukosa sana...
21 Reactions
72 Replies
8K Views
Huu ni ushauri tu wa bure kwa wanaume wenzangu. Najisikia vibaya na kuumia sana pale naposikia mwanaume mwenzangu amekufa eitha kwa kujiua au kuua mtu kisa mapenzi. Wanaume chukueni hili toka...
13 Reactions
93 Replies
9K Views
Back
Top Bottom