Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,905
Huu ni ushauri tu wa bure kwa wanaume wenzangu.
Najisikia vibaya na kuumia sana pale naposikia mwanaume mwenzangu amekufa eitha kwa kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.
Wanaume chukueni hili toka kwa watu wenye busara, mwanamke usimpe moyo wako, mpe hela zako kadri uwezavyo ila usije kumpa moyo. Kumpa mwanamke moyo wako ni sawa na kuchezea kamari maisha yako, unacheza pata potea.
Wanawake sio watu wa kuwaamini kihivyo hasa kwenye mahusiano na mapenzi, at any time T anakumwaga au kukusaliti ukaishia kujinyonga au kuua mtu.
Moyo wako mdio maisha yako, ukimpa mtu kisha akauchezea ni sawa na kuchezea maisha yako na atakuyumbisha sana. Mwanamke usije kumpa moyo wako, mpe material things atakazohotaji ila usije kuthubutu kumpa moyo wako.
Jambo la pili, usije kuthubutu kua na mwanamke mmoja, wanaume wengi hufanya a very fatal mistake kua na mwanamke mmoja na kumpa mioyo yao. Mwanamke mmoja ni sawa na kua na kibuyu kimoja, time kinapasuka utapata shida sana.
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu. Pamoja na kua wanawake ni watam sana na very tricky, dont fall a victim to their trap.
Sharing is caring.
Najisikia vibaya na kuumia sana pale naposikia mwanaume mwenzangu amekufa eitha kwa kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.
Wanaume chukueni hili toka kwa watu wenye busara, mwanamke usimpe moyo wako, mpe hela zako kadri uwezavyo ila usije kumpa moyo. Kumpa mwanamke moyo wako ni sawa na kuchezea kamari maisha yako, unacheza pata potea.
Wanawake sio watu wa kuwaamini kihivyo hasa kwenye mahusiano na mapenzi, at any time T anakumwaga au kukusaliti ukaishia kujinyonga au kuua mtu.
Moyo wako mdio maisha yako, ukimpa mtu kisha akauchezea ni sawa na kuchezea maisha yako na atakuyumbisha sana. Mwanamke usije kumpa moyo wako, mpe material things atakazohotaji ila usije kuthubutu kumpa moyo wako.
Jambo la pili, usije kuthubutu kua na mwanamke mmoja, wanaume wengi hufanya a very fatal mistake kua na mwanamke mmoja na kumpa mioyo yao. Mwanamke mmoja ni sawa na kua na kibuyu kimoja, time kinapasuka utapata shida sana.
Huu ni ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu. Pamoja na kua wanawake ni watam sana na very tricky, dont fall a victim to their trap.
Sharing is caring.