Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

*DALILI KWAMBA MKEO HARIDHIKI NA UTENDAJI WAKO WA KITANDANI* ...... _Tendo bora la ndoa linatakiwa kuandamana na uwezo wa mawasiliano yaliyo wazi na bila soni. Lakini, ukiwa miongoni mwa wale...
10 Reactions
61 Replies
13K Views
Amani iwe nanyi wadada wote msioolewa Yamkini nayanena haya kama sehemu ya mwanajamii katika kufikisha ujumbe kwenu.Miaka inazidi kwenda na umri nao unazidi kutaradadi wimbi la wadada linazidi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Yeyote anaekupa pressure na kukuongopea kwamba NDOA ndio kilele cha furaha kwa mwanamke ni kwamba anakudanganya..NDOA sio Ultimate happiness kwa mwanamke. My Black sister hauhitaji mpaka NDOA...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Don't confuse the lenght of a relationship with the Strength of a relationship. "Godbless Lema" Jamani kwa wale wenye wake zao halali, TUWAPENDE WAKE ZENU JAMANI HAWA NDIO MARAFIKI ZENUU...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za Jumapili Wadau Niko kwenye Ndoa karibia mwaka mmoja sasa, Mke wangu ni mwajiriwa wa sekta binafsi na mimi niko serikalini, hivi karibuni nimehamishiwa Dodoma kikazi mke wangu yuko Mwanza...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani hiki ninacho enda kushea na nyie ni true story. Nikiwa mwaka wa Pili chuo nilipata girlfriend ila alinizidi mwaka mmoja. Baada ya kama miezi kadhaa tukavurugana basi bana tukawa kama...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Niingie kwenye mada tajwa. Nahitaji mke mwema. Sifa za nimtakaye Awe mwaminifu mwenye nia ya kweli, aliyemaliza mambo ya ujana, aliyetayari na mwenye shauku ya kuanza familia. Umri 26-35...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Niaje wana zengo??? Nimepitia mahusiano kadhaa.Lakini katika katika pitapita zangu kuna baadhi ya wanawake natokea kuwa feel sana.Natia nia ya kudumu nao hata kuoa.Sioni sababu ya kudanganya...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
  • Closed
Mtu anaweza kudhani ni story ya kutunga la la hasha, sina faida kwenye hilo, hiki ni kitu kinatokea kwa mara ya tatu Leo... Mida ileile Baada ya kuota tena Leo, nimesita mno kuweka hili bandiko...
11 Reactions
108 Replies
21K Views
Mke wangu ni mama wa nyumbani ila haeleweki kawa jeuri, ni mtu wa matusi, hajui watoto wanakula nini. Mudacwote yuko busy na simu na mara nyingi anakuwa nyumba ya jirani. Sasa binti yangu wa kazi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
habari wakuu naomb kuuliza kuhusu hii sheria ...Kunamama angu mdogo amezaa mtt mmoj na mumewe ambae mumewe kwa sasa kafarik huku ameacha watt wa nje wanne sasa shida ni wale watot walikuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nahitaji marafiki wa kuchat, kushea nao mawazo..nina upweke! Wawe umri wowote Au kama una group la whatsapp lenye mambo ya maana niunge. Ni hayo tu Aggy
15 Reactions
167 Replies
18K Views
Habari za siku nyingi ni muda kidogo toka nipotee Jamii Forums. Na imani wote ni wenye afya njema. Wanawake wengi wamekuwa wakisahau na kuona kama mwanaume fulani si mpambanaji au ameridhika na...
14 Reactions
49 Replies
5K Views
Wakuu ushawahi kumpenda mpangaji mwenzio alafu ukajikuta unajuta kwa nini umefanya hivyo alafu ukute hana hata kazi duu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna mtoto wa baba mchungaji namfukuzia, ameniambia akitaka anikubalie nikasali na kutambulishwa kwenye kanisa lao, Sasa nimeona isiwe kesi nimekubali mi nataka tunda tu kwangu kuwa mlokole sio...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu wapendwa wote leo nimekuja mbele yenu kuomba ushauri juu ya tabia hii mpya aliyoianzisha shemeji yenu na wengine wifi yenu. Je, ni sahahihi mpenzi wa mtu kuongea na...
1 Reactions
59 Replies
10K Views
Kuboreka/upweke ni hali ambayo inawakumba wengi kabla hatujawapata real love; aisee sikuku zimeanza na hakuna mwanamke wa kueleweka wa kwenda naye out; its ryl boring, leo nipo karibu na mwenge...
2 Reactions
57 Replies
4K Views
Kuna binti nilikutana nae miezi mitano iliyopita , tukafanya mambo yetu kama kawaida baada ya mwezi moja akaniambia anajisikia vibaya nikamwambia aende akapime Hosptal ,akaenda na kupima vipimo...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Mimi ni msabato mzuri tu sana, leo nimedamka asubuhi sana nimewahi kanisani kwetu ili nikajiandae na somo langu la leo kwa vijana maana mimi ni mwalimu wa vijana wanaoitwa path finders hapa...
4 Reactions
62 Replies
6K Views
Wakuu ni matumaini yangu wazima wa Afya Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, ningependelea kuzungumzia TATIZO LA VIJANA KUJIHALALISHIA MABINTI WA WATU NA KUISHI NAO KAMA MKE NA MUME Tatizo...
28 Reactions
256 Replies
24K Views
Back
Top Bottom