Wanaume wa Kinondoni jogoo asimami

Wanaume wa Kinondoni jogoo asimami

farujoni

Senior Member
Joined
Dec 19, 2016
Posts
189
Reaction score
247
Utafiti uliofanywa na wizara pamoja na taasisi ya taifa ya magonjwa ya binadamu unaonesha asilimia 24% ya watu wa kinodnoni wana tatazo la nguvu za kiume huku chanzo kikubwa ikiwa ni uzito uliopindukia


Vijana wa kino haya ni ya kweli???
Utafiti%20waonyesha%20asilimia%2024%20wanaume%20wa%20Kinondoni%20wana%20tatizo%20la%20nguvu%2...jpeg
 
Yaa unalolisema ni la msingi kabisa ila kwanza nataka vijana wa kino watueleze wanakubaliana na hili maana hii ni fedhea
Hili swali ulitakiwa uelekezee tunaodate wakaka wa kinondoni

Wao wenyewe hawawezi kukubaliana na hizi kashfa
 
Kusema kweli kinondoni na sinza wanaume wengi wana umama mwingi sana...
 
Mtu anatinda nyusi na kushindia vyepe nguvu atazitoa wapi
917800508.jpeg
 
Back
Top Bottom