Kama humpendi mtu achana na vitu vyake

Kama humpendi mtu achana na vitu vyake

nameless girl

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
4,195
Reaction score
2,689
Huku tunapoelekea jamani, tunafanya mizaha mingi lakini tunapaswa kuwa serious kwa wenza wetu.

Wanawake hatupaswi kumkubali mtu kwa sababu ya misaada yake au pesa zake, siku tukisimama kwa miguu yetu risasi za kichwa zitatuhusu rejea Ufoo Saro na yule aliyeuawa leo nafikiri, wenye habari kamili watatusaidia.

Wanaume acheni tabia ya kumpotezea mtu muda na kumdanganya kwa maneno mazuri huku unajua wazi huna mpango nae mbeleni.

Ukijaribu kuvaa viatu vya wahusika wa matukio haya, unaweza kuhisi maumivu yao. Mtu anategemea baada ya muda fulani tutatengeneza maisha na mtu fulani kumbe mwenzake anawaza kinyume.

Au mtu anatoa mshahara wake kumlipia mama watoto kuwa waje kusaidiana baadaye alafu jitu linapokea kwa bashasha kumbe lina mipango tofauti.

Tuacheni huu utapeli in the name of love. Huu ni utapeli. Kama huna upendo na mtu weka wazi itambulike hivyo kuwa jamaa au dada ajue kusuka au kunyoa.

Karibuni kwa maoni yenu.
 
Huku tunapoelekea jamani, tunafanya mizaha mingi lakini tunapaswa kuwa serious kwa wenza wetu.

Wanawake hatupaswi kumkubali mtu kwa sababu ya misaada yake au pesa zake, siku tukisimama kwa miguu yetu risasi za kichwa zitatuhusu rejea Ufoo saro na yule aliyeuawa leo nafikiri, wenye habari kamili watatusaidia.

Wanaume acheni tabia ya kumpotezea mtu muda na kumdanganya kwa maneno mazuri huku unajua wazi huna mpango nae mbeleni.

Ukijaribu kuvaa viatu vya wahusika wa matukio haya, unaweza kuhisi maumivu yao. Mtu anategemea baada ya muda fulani tutatengeneza maisha na mtu fulani kumbe mwenzake anawaza kinyume.

Au mtu anatoa mshahara wake kumlipia mama watoto kuwa waje kusaidiana baadaye alafu jitu linapokea kwa bashasha kumbe lina mipango tofauti.

Tuacheni huu utapeli in the name of love. Huu ni utapeli. Kama huna upendo na mtu weka wazi itambulike hivyo kuwa jamaa au dada ajue kusuka au kunyoa.

Karibuni kwa maoni yenu.

Unforgetable
 
kuna watu hata uwaambie huna mpang nao wao wanasema mdanganye tu kuliko kumuacha mazima

basi tunaendelea wadanganya (kwa wanaume) wanawake wao tamaa ya kuhudumiwa inawaponza ni mwendo wa gunia 2 ama papaaa paaa paaa 3

naandika kama mazuri
 
Waambie kabisa laasivyo gunia mbili zitawahusu na risasi kadhaa


Pia nikiwa kama msemaji kwenye kikao chetu wanaume nipende kuchukua nafasi hii kumpongeza yule ndugu yetu afisa kwa ujasiri aliouchukua nipende kusema tu tumefurahishwa na kitendo chake na ule ni uwamuzi wa busara aliofanya

Wito
Wito wangu kwa mabaharia mkitekeleza haya matukio yafanyeni kwa ufanisi zaidi na pia epukeni kuacha ushahidi pembeni

Mwisho nitoe rahi kwa upande wa pili niwaambie tu cha mtu akiliwi bure cha mtu gharama kama huna nia unasema kabisa

Imetolewa na ofisi chama cha wanaume tanzagiza

Msemaji mkuu
S.l.p 330
Tanzagiza
 
Kwakweli inasikitisha😭 sana
I feel him aisee
Hakuna kitu kinauma kama mambo kwenda kinyume na matarajio yako 100%
miaka mi4 unatarajia / unafanya vitu vingapi, unawekeza kwenye Shamba unatarajia ntavuna halafu unavuna mabua tupu tena kwa dharau mahindi yanaenda kuota shamba lingine😀... Gunia 2 kwani Sh ngapi nichome pori
 
Kwakweli inasikitisha[emoji24] sana
I feel him aisee
Hakuna kitu kinauma kama mambo kwenda kinyume na matarajio yako 100%
miaka mi4 unatarajia / unafanya vitu vingapi, unawekeza kwenye Shamba unatarajia ntavuna halafu unavuna mabua tupu tena kwa dharau mahindi yanaenda kuota shamba lingine[emoji3]... Gunia 2 kwani Sh ngapi nichome pori
Kabisa mtu kapoteza muda wake, pesa zake halafu unakuja kumletea miyeyusho
 
Kabisa mtu kapoteza muda wake, pesa zake halafu unakuja kumletea miyeyusho
Muda unaweza kuuma kuliko pesa
Unapovunja moyo/ matarajio ya mtu kwako inamaana unamtia Gadhabu/Chuki/Majuto/Maumivu kwa wakati mmoja namna hii ni sawa na kutengeneza bomu moyoni kwa mtu
Tusicheze na Muda/Hisia za mtu,hujui amepitia mangapi miaka mi4 kwa ajili yako, halafu unakuja tu unasema its over , hisia zile zile ulizozichezea ndio zinabadilika kama ulivyobadilika wewe zikiamua kufanya chochote basi hakuna kurudi nyuma!
Kama ni betri/gunia mbili/risasi 48 chochote kinaweza kutokea😂
 
Back
Top Bottom