Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari wana JF. Mimi mzima hofu kwenu. Ni miaka kama miwili imepita tokea tupotezane na msichana ambaye nilikuwa nikimpenda sana, kipindi nipo form 4 yeye alikuwa form 3 which means mwaka 2017...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wengi wanakimbilia ndoa,wakiamini watakuwa wanafanya tendo masaa 24 kwa siku...tatizo linajitokeza pale mhusika anapoamua kuwa halisia na kutaka kufanya tendo pale atakapojisikia yeye na si wewe...
4 Reactions
47 Replies
4K Views
Nawasalimu wana JF wote. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kuwaasa wanafunzi hasa wa vyuoni wanapokuwa vyumbani kwao wawe makini. Wanachuo walio wengi aidha wawe hosteli za chuoni au za...
26 Reactions
144 Replies
16K Views
Kamahuelewinisubiriubungonakuja A GOOD WOMAN, MAKES A GOOD WIFE AND A GOOD WIFE BECOMES A GOOD MOTHER. A GOOD MOTHER GIVES BIRTH TO A GOOD CHILD. IF YOU WANT TO BE A GOOD WOMAN, WIFE AND MOTHER...
2 Reactions
7 Replies
940 Views
Serikali ya Tanzania imeanza rasmi kuwasaka Kimya Kimya Madaktari wote wenye Umaarufu wa Kuwatoa Mimba Watoto wa Kike ambao ni Wanafunzi wa Shule za Msingi ( Primary ) na za Upili ( Secondary )...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawasalimu members wenzangu Ndugu zangu nilikuwa tuna jirani yetu mmoja alikuwa ana uhusiano wa kimapenzi na binti mmoja anayeitwa Rehema. Huyu jirani yetu alikuwa ni mpole, mstaarabu pia ni...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ukiwa na akili huhitaji kuchunguza uwezo wa mwanamke na mwanamme upi ni bora na imara. Akili za wanawake ambazo kila wakikuwa ndio zinapungua uelewa na kujiamini. Hawawezi kuwa na maamuzi sahihi...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
ɐʞɐʇıʞoɥɔı|n ə|ıʞ ɐʇɐdɐʞn ıʋıʞɐ| nɓʋnznɓʋnzıʞ ısıɥnʞ ɐzəʍɐʋn .oʎʌıɥ odɐʎ ɐʍnɥ ɐıd ɐɥsıɐɯ ɐʋ ɐʍnʞ ɐʍə|ə ısɐq ɐʍʞıρʋɐoɥɔı|ıʞ əʍə|ən ı|ı oʞɐʎ oɓʋıɥs nɐ nɯıs ɐznəɓınʞ ɐʍıʞıʋɐɟı|n ɐɯɐʞ ,nʇ ɐəozɐɯ ɐʍʞ...
11 Reactions
51 Replies
4K Views
Kama kuna kitu kinahakikiwa kwa umakini na kwa kurudiwa basi ni hiki kitu pesa.... Unaweza kumpunja mtu kwenye kitu chochote lakini sio pesa... Mpunje kwenye kipimo cha nafaka, ukamzidishia...
31 Reactions
68 Replies
8K Views
Kila mtu anaekuja umu anaitaji mara mke above 28yrz. mara mme above 35yrz sasa apa leo nataka nikutane na watoto wa kike 20-23yrz. milango iko wazi mimi ni single boy. ata wakijitokeza wengi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwa ladies, ukitaka mtu (mume/mchepuko) wako akuhudumie chochote unachotaka kutokana na uwezo wake, fanya yafuatayo:- Akikugusa kidogo tu hata mkono, shtuka kimahaba Ukiwa naye jitahidi uwe...
5 Reactions
83 Replies
8K Views
Sasa kama wewe mwanamke unajua kabisa kuwa unatumika kwa ule utaratibu wenu wa kibaiolojia wa kila mwezi, kwanini wakati unajua kabisa kuwa nina minyegenyege yangu ya kutukuka na ninapokuita uje...
6 Reactions
59 Replies
5K Views
Kwanza msije mkanikashifu maana kufanya kosa siyo kosa Bali kurudia kosa ...[emoji15][emoji15][emoji15] Nilikuwa na mwanaume (mpenzi) tulidumu miaka miwili kasoro miezi mitatu. Alikuwa...
93 Reactions
812 Replies
92K Views
Naomba jibu lako liwe moja tu, ni sahihi au sio sahihi kwa mwanamke avae suruali zinazobana. Sitaki maelezo mengi, wewe sema tu ndio au hapana. Kimaadili, kijamii, kidini n.k ukijumuisha yote...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Afisa Msaidizi (Mlinzi) wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma bw. James Paulo amemuua mchumba wake Beata Kafuru(26) aliyekuwa muuguzi,katika...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Hodi humu ndani nakuja kwa kishindo kama [emoji233] lakini na huzuni kama [emoji212] cha kuku kilichoachwa na mamaye. Kama kawaida nianze na hiki kitu kinachonisibu hadi sasa. Kuna ex wangu...
0 Reactions
126 Replies
12K Views
Habari za hapa watu wa jukwaa hili Nimeona nifike hapa niandike duku duku langu Mama mkwe amekuja home kwa ajili ya kumsaidia mwane ambae mimi ndio barafu ya moyo wangu (my wife) ulezi mtoto...
4 Reactions
87 Replies
9K Views
Mambo 10 marufuku kwa wanaume 1. Kusomesha mchumba 2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako. 3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali. 4. Kutunza fedha kwenye...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Mnatupeleka wapi hiki kizaziii
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom