Independent, beautiful, light skin and decent lady age 20-40, at least a degree. I'm NOT up for marriage and children. PM only for the interested. Thanks.
Tumeanzisha Facebook Page yenye lengo la kuwapatia Watanzania popote pale walipo, fursa ya kujitafuta marafiki na hata wachumba ulimwenguni kote.
Cha kufanya, like Page yetu hapa kisha...
Habari zenu wana JF.
Jamani maisha ni safari ndefu na yanahitaji ustaamilivu na ujasiri. Napenda kuchukua fursa hii kwa mara ya kwanza kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae...
Wana jamvi habari zenu...?
nilikuwa natafuta rafiki wa kike nashukuru nimepata sasa natafuta ndugu wapya wa hiari maana ukoo wangu una watu wachache sanaa mpaka nakosa raha....!!! kama huko...
this is only for single ladies aged 20-25years, non-smoker, non-alcoholic, no kid not even attempted abortion, college level or more, independent, self motivated and faithful.
On my side, 26years...
Habari wana JF.mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 34,elimu ya kidato cha sita,mkulima na mfugaji,maji ya kunde,mrefu,mkristo,mwelewa na mnyenyekevu,mpole,mpenda maendeleo kihalali.
Msichana...
Nahitaji kuanzisha uhusiano wa kirafiki na mwanamke muislam umri usizidi 35 yrs,wagumba watapewa kipaumbele maana jamii inawaonea. Mengine negotiable, mawasilaiano ni kwa PM tu, na zote...
Habar ndugu wanabodi. Mimi ni kijana wa kiume. Ninaishi arusha. (Kazi) mimi ni mjasiriamali kwa maana ya kujiajiri mwenyewe. Nilizaliwa miaka (25) iliyopita. Kusudio langu hapa natangaza nia ya...
Miaka 35 mpaka 40.
Elimu kuanzia form six na kuendelea.
Awe mfanya kazi au mfanya biashara halali.
Awe mkristo.
Anayejiamini kuwa yeye ni kichwa cha familia na mchapa kazi.
Mimi nina...
Habari wana JF, mimi nimwanamke, ninatafuta mchumba kuanzia miaka 36 mpaka 45, awe mcha Mungu, mwenye elimu ya chuo. Jamani nipo serious kwa hili swala. Natanguliza shukrani.
Dini yangu ni...
Mimi natafuta rafiki wa mawasiliano pamoja na kubadilishana mawazo popote walipo jinsi yoyote wote nawapenda by ngapu zenj. email.hii kassimyussuf@gmail.com na facebook hii...
Tumeanzisha Facebook Page yenye lengo la kuwapatia Watanzania popote pale walipo, fursa ya kujitafuta marafiki na hata wachumba ulimwenguni kote.
Cha kufanya, like Page yetu hapa kisha utakuwa...
wana jf nipo seliosly natafuta mcumba wa kuoa na kuanzisha maisha na mimi
sifa zang:mnene kiasi kabila muhehe.umri wang ni miak25
sifa za anae tafutw:
mweupe kiasi si wakujichubua.mwembamba...
Mimi nina miaka 26 nina degree yangu na nafanya kazi katika shirika moja la kimataifa huku kanda ya ziwa. Natafuta msichana mrembo wa haja mwembamba. My take hata mm ni mzuri so jitahidi uwe...
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo:
1. awe muislam
2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani.
3. Mwenye degree elimu kuanzia form...
mimi kijana wa miaka 32 mwenye elimu ya chuo na kazi natafuta mwanamke Wa umri huo aje tufanye maisha awe na kazi au biashara....dini muisilamu na siangalii urembo ila ajiheshimu...aliyetayari ani PM,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.