Namhitaji 'Mwanamke' ambae anajitambua. Kuhusu future yetu, itakuwa ni mimi na yeye kujadili na kupanga how to go about it! Age is nothing but number! Muhimu awe 'anaejitambua' please ni PM!
Kwa muda nimekuwa katika uzi huu na kugundua kuwa ni sehemu ambayo inapitwa na watu wenye upeo mzuri juu ya maisha ya kila siku. Mimi ni mwanaume lijari ambaye nina mke na watoto wawili, nimepata...
Hlw,nipo Dar ninafanya kazi ktk organization inayodeal na women empowerment,nimemaliza chuo pale ifm nina degree ya banking and finance na ni mwanaume aged 27. Natafuta marafiki. Nitumie...
Habari za hapa wana jamii?jamani wanajamii wenzangu,mm kwa muda mrefu natafuta mke kupitia hapa jamii lakini imekuwa kasheshe kubwa kwangu,kila mwanamke ninaekutana nae,anataka niwe na mjengo na...
mimi kijana wa miaka 32 mwenye elimu ya chuo na kazi natafuta mwanamke Wa umri huo aje tufanye maisha awe na kazi au biashara....dini muisilamu na siangalii urembo ila ajiheshimu...aliyetayari ani PM,
Awe na sifa zifuatazo:-
Umri wa kati ya miaka 18 - 25
Elimu ya Sekondari na kuendelea
Awe na dhamiria ya kuwa kwenye mahusiano thabiti
Asiwe mnene sana
Asiwe mfupi sana
Awe tayari kupima magonjwa...
Kwenu wanajamvi!
Kichwa cha habari chahusika hapo juu
Ni rafiki yangu sana, mdada ana miaka 36, ana watoto wawili, anatafuta mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli, upweke umemchosha. Yeye...
mimini mtu mzima aged 50 natafuta msichana awe nweusi asiyejichubua na ambaae anahangaika na maisha ili awe mpenzi wangu,anaweza kuwa mtumishi au mjasiriamali au mbangaizaji ili tupeane raha.awe...
Habari zenu wapendwa,
natafuta demu wa kudate naye, na ntakuwa naye angalau kwa mwaka mmoja
awe na shape nzuri (sexy looking and romantic figure)
awe mwanajeshi au polisi
any age below 30
rangi...
Habari wana JF, mimi nimwanamke, ninatafuta mchumba kuanzia miaka 36 mpaka 45, awe mcha Mungu, mwenye elimu ya chuo. Jamani nipo serious kwa hili swala. Natanguliza shukrani.
Dini yangu ni mkristo...
Wakuu mambo vp! Mi natafuta mchumba ambae yuko serious na maisha, anakunywa bia, club kimtindo, mweupe,mrefu, umri kuanzia 20-26. Mi umri wangu 28, pia asiwe machepele/mcharuko,mengine tutajuana...
I am rily in need of a person to be close to me and advice me also to confort me in stressfull times and i will also do the same for him/her,{it doesnt mean a girlfriend,its just a friend and it...
jamani kila nikitembelea jukwaa hili sion post ya mtu anae hitaji mkulima! leo nafunguka nahitaji mke anae weza mambo ya kilimo!......... sifa awe na akili timamu..........umri kuanzia...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, natafuta msichana ambaye atakuja kuwa mke wangu wa future,lakini awe na sifa kama zifuatazo;
awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya mungu
awe na umri wa miaka...
Mamboz?
Nimeamua nijaribu chance na hapa as huwez jua ya Mungu mengi.. Nami humu jamiiforums natafuta partner.. Just for chatting, having fun mambo yakienda poa malavidavi and later wedding...
Katika ujana wangu nimepita kwa makabila mengi kiasi kwa mtindo wa eat and run, sasa umri umekwenda. Kwa utashi wangu katika makabila yote, nilifurahishwa na mapenzi ya hayo kabila tajwa hapo juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.