mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,223
- 4,679
hello wana jamiiforum..mimi ni kijana wa miaka 28..nina elimu ya chuo kikuu...ni mkiristu...ni mrefu..rangi somehow black.
natafuta rafiki wa kike ili baadae Mungu akipenda awe mke wangu....umri wake usizidi miaka 28...elimu yoyote...dini yoyote..
naitaji mtu ambae kweli yuko tayari kuanza maisha ya ndoa Mungu akijalia,kutokana na mipango niliyojipangia nafikiri sasa ndio wakati muhafaka wa kuwa na serious relationship...So naemuitaji ni msichana serious anayejitambua na mcha Mungu.
aliye tayari tuwasiliane kwa PrivateMessage.
wote mtajibiwa!!
natafuta rafiki wa kike ili baadae Mungu akipenda awe mke wangu....umri wake usizidi miaka 28...elimu yoyote...dini yoyote..
naitaji mtu ambae kweli yuko tayari kuanza maisha ya ndoa Mungu akijalia,kutokana na mipango niliyojipangia nafikiri sasa ndio wakati muhafaka wa kuwa na serious relationship...So naemuitaji ni msichana serious anayejitambua na mcha Mungu.
aliye tayari tuwasiliane kwa PrivateMessage.
wote mtajibiwa!!