Habari zenu wana JF.
Jamani maisha ni safari ndefu na yanahitaji ustaamilivu na ujasiri. Napenda kuchukua fursa hii kwa mara ya kwanza kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae atakuwa mume kama M/mungu ataleta heri. Kwa aliye na nia ya dhati haswa naomba tuwasiliane kwa private message.
Sifa zangu
Umri: Miaka 31
Umbo:Ni mwembamba kiasi
Urefu:1.52m
Rangi: kahawia
Elimu: Degree mbili
Kazi: Muajiriwa
Dini:muislam
Sifa za Mtarajiwa
Umbo: wastani, si mnene si mwembamba
Urefu: ni vizuri kama atanizidi urefu
Rangi: yeyote
Elimu: Degree
Kazi: Ni muhim, maisha kusaidiana
Dini: Muislam, ila uwe hujaoa!
Umri: 33-39
Tafadhali wana JF hili si jambo la mdhaha, naomba tuweke kando mzaha, nia ni kujenga. Nipo tayari kwa maswali, karibuni
Enjoyments pass while consequences remain
Jamani maisha ni safari ndefu na yanahitaji ustaamilivu na ujasiri. Napenda kuchukua fursa hii kwa mara ya kwanza kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae atakuwa mume kama M/mungu ataleta heri. Kwa aliye na nia ya dhati haswa naomba tuwasiliane kwa private message.
Sifa zangu
Umri: Miaka 31
Umbo:Ni mwembamba kiasi
Urefu:1.52m
Rangi: kahawia
Elimu: Degree mbili
Kazi: Muajiriwa
Dini:muislam
Sifa za Mtarajiwa
Umbo: wastani, si mnene si mwembamba
Urefu: ni vizuri kama atanizidi urefu
Rangi: yeyote
Elimu: Degree
Kazi: Ni muhim, maisha kusaidiana
Dini: Muislam, ila uwe hujaoa!
Umri: 33-39
Tafadhali wana JF hili si jambo la mdhaha, naomba tuweke kando mzaha, nia ni kujenga. Nipo tayari kwa maswali, karibuni
Enjoyments pass while consequences remain