Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
AjHVbjbdgdhdbnbdjbdgbd Jdhuuduhdj
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Habari kwenu wana JF. Nimekuwa nikijiuliza kwa mda hivi ya kwamba ndani ya GT yupo mdada aliyeokoka? kama ni kweli tafadhali fuatilia maelezo haya na kama yamekugusa usisite kufanya kile ambacho...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
If ur serious,send to me a private message for more info.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wadau Eid Mubaraq, Natumai mnatabaruq maaqul al'asir hii na wale ambao mida bado haijafika basi naona kwa mbaali mmeshajaza mate midomoni na kuandaa njaa. Binafsi nimeshaweka tayari ndizi 3 mbivu...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Natafuta mwanaume,ambae ataniamini,natafuta mwanaume ambae atakuwa hana mashaka na mimi ambaye atakuwa anaamini mimi ni mwanamke mkweli kwake yeye,mawasiliano yangu haya hapa mwadisai@gmail.com...
0 Reactions
39 Replies
8K Views
She should be at least form six or more
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello JF Najitokeza kwa mara ya kwanza kabisa hapa jamvini kuwasilisha tatizo au hitaji langu la msingi sana. mimi ni kijana wa makamo.najitokeza kutamka wazi hitaji langu la kumpata mwanamke...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Jf wa kike mambo? huwa napenda sana kuchat na marafiki wa kike kwa njia yeyote ile,sina kigezo chochote zaidi uwe mwanamke wa aina yoyote hata watu wazima poa tu,aliye tayari nicheki kwenye tigo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
She should be at least at least form six or more. also she should have a good thinking and vision.
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Quand j'ai regardé pour un amant, il est devenu très difficile pour moi, mais je crois qu'il faudra quelques jours pour que la femme à venir me. Maintenant, c'est pas facile pour quiconque...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
This iz ma first time to appear in JF, After being disapointed one of the person miongon mwa niliowasimulia alinishauri nifanye hivi yani ni join JF, Nakuwambia members hasa wanawake wapweke kama...
0 Reactions
1 Replies
902 Views
naitwa Joel,nina umri wa miaka 32,nimejiajiri mwenyewe,nina urefu wa futi 6 na mwili wa kawaida,rangi ni mweusi.mkristo.mengineyo tutafahamishana baadaye.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF. nahitaji msichana mmoja mwenye kujitambua kwa ajili ya serious relationship na wala sio kupotezeana muda. umri usizidi 25yrs. nina 27yrs. please aliye tayari ani PM, tutaanza kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa...
12 Reactions
129 Replies
8K Views
Mimi ni kijana ,nipo chuo kimoja hapa nchini natafuta mwanamke awe muislam,mwenye umri chini ya miaka 25,awe mfanyakazi wa serikali au awe mwanafunzi wa mwaka wa tatu ktk degree ya uwalimu, mrefu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
jamani me nna miaka 24, natafuta mwanamke wa kuwa mpenzi wangu mwenye miaka kuanzia 35 mpaka 50, sifa yoyote ile, me nna mapenzi ya kweli, aliye tayari ani PM. Matusi sitaki. Nawasilisha.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari wan JF kwa jinsi weekend ilivyo naona kama kuwa ndefu sana kutokana na sikukuu sasa kwa yeyote aje tujumuike kwenye wekeend kuspend it is just for the fun cozi niko mpweke this weekend...
0 Reactions
2 Replies
973 Views
Natumaini hamjambo wapendwa wanajamvi..mie ni kijana wa early 30s niko Arusha, mwajiriwa wa kipato cha kati, mkristu. Natafuta mwandani wa ubani mwenye kujitambua, ideally please be: 1. 20-29...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Am 23 cul n' lovely boy frm tmk natafuta girlfriend who hav gut 2love.,whoever wishes 2own me jst leave ur contact.
0 Reactions
5 Replies
882 Views
Nahtaji binti mrembo na mwenye kujipenda,aishiye dar, awe na elimu ya kidatu cha 6++...... mwenye cfa hzo anichek...!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom