Mm naitwa moody kabwe nina umri wa miaka 28
Nahitaji mke wa kuo ila mimi kwa sasa sina kazi niliachishwa kazi kipindi cha kampeni za uchaguzi na bos wangu yeye ni ccm baadala ya mimi kutekeleza...
kwa mara nyingine najitokeza hapa, natafuta rafiki wa kike, awe mkweli, awe mcha Mungu wa ukweli, awe muwazi, napendelea awe mrefu, umri kuanzia miaka 24-27... elimu kuanzia kidato cha sita...
Mwenye sifa zifuatazo;
. Awe na umri kuanzia miaka 30
. Mcheshi
. Elimu haijalishi awe na kazi
. Kuwa na mtoto haijalishi
- Uje PM..
Wasifu wangu:
Nina 25
Nina shahada ya kwanza
Nina kazi...
Habari wana jf?
Nimejitokeza hapa kutafuta mchumba (mke) kwasababu zifuatazo.
1. Umri wa kuoa umefika sina muda wa kusubiri naamini pia Mungu ndiye kanileta hapa.
2. Wadada wengi ninaowapata...
Hi
I am a man aged 23 years old and 178cm tall. I am a Tanzanian. I am a second year bachelor's degree student. Am here looking for any single girl with the equivalent age as stated above on the...
Ndugu wana JF mie ni kijana wa miaka 28 naishi Dar. Nimemaliza chuo na kuna sehem nafanya kazi. Natafuta mwanamke wa kuoa coz nimechoka kua single for a long time. Natafta mwanamke aliye serious...
hellow jamaa niko Serious very serious...!
napenda nikutane na Mwanamke Mnene kwelii (bonge,tufe) mweusi ninapenda sana mwanmke wa Namna Hiyooo!!
please please!
nina Miaka 25
mrefu mweusi
elimu...
Hello people,
I have this lady friend of mine.She seriously needs someone to hook up with and get into a serious relationship of which marriage is the ultimate goal(Repeat it louder)
She is aged...
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uhai na afya.
Lakini pia nachukua wasaa huu kuwashukuru wote wanaoifanya jamiiforum kutufanya tupate pa kusemea.Baada ya shukrani zangu hizo sasa niende moja...
Rafiki yeyote wa kike anayejihisi kuwa rafiki mzuri anakaribishwa. Any age, nia ni kuchat na kubadilishana mawazo, you are welcome.
Ni PM nikupe no zangu.
Kama kichwa kijielezavyo.
Mimi ni kijana wa kitanzania nina miaka 23 sasa hivi nipo mwaka wa mwisho chuo kikuu UDSM -undergraduate.
Baada ya mama kufariki, nimeishi bila mama hivyo basi natafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.