Habari zenu wanajamvi...!!!
Mimi ni mvulana rijali kabisa na nimekuja mbele yenu wanajamvi kwa ajili ya kutafuta mpenzi simple kabisa na mwenye vigezo vifuatavyo..;
1:Awe na miaka 18 na...
Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nimeamua kuja jukwaani kutoa hitaji langu la moyo, kwa yeyote mwenye mapenzi ya dhati karibu sana, nipo mkoa wa Mwanza, ningefurahi kama ningepata mwanaume wa Mwanza...
Wasalaam wanajf!
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu kutafuta marafiki,wachumba na wenza mitandaoni kila kukicha. Hivyo ni vyema tukakumbushana mambo mbalimbali yanayojitokeza kabla,wakati na baada ya...
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe...
Kwa rehema za Manani natanguliza amani
Moyo upo mashakani macho yapo gizani
Si lakuvunda wala la ubani kwake taabani
Kwa penzi lake la thati moyo upo rehani
Nikupendae ni ww wengine hawana...
Habari wana JF,
Mimi ni mvulana mwenye maambukizi ya VVU. Nahitaji mwanamke mwenye VVU ambaye atakuwa mke. Sichagui dini wala kabila. Umri kuanzia miaka 27 mpaka 35. Nipo serious jamani. Sihitaji...
mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 32 ,dini muislamu ni mwajiriwa wa serikali kada ya Elimu, nafanya kazi halmashauri ya jiji la mwanza, natafuta mwanamke aliye serious kuolewa na kuwa...
Mimi ni mwanaume wa miaka 30, elimu yangu ni bachelor degree, mimi nipo Mpanda ndipo ninapofanya kazi. Nahitaji mwanamke wa kuzaa nae, kigezo cha mwanamke awe angalau na diploma au zaidi, mwanamke...
Sometimes in life all you need is peace and love actual most times you need someone to care about you make you feel special make u relax one person you can share your thoughts without being judged...
Habari wanajf...
Mimi ni kijana bora...mwenye ucheshi na ustaarabu..
Nahitaji rafiki wa kike wa kuwa na mawasiliano nae...hata ikiwezekana kwa mapenzi ya mungu tuweze hata kuwa wapenzi .
1:UMRI...
Mimi Ayub Muyo, nahitaji mchumba mwenye umri kati ya miaka 19 hadi 31, atakayejali familia ile nini, ivaaje kwa kushirikiana na mimi. Na tutawajali ndugu wa pande zote, Mimi naabudu BWANA MUNGU...
Habari za Muda huu wapendwa,
Mchumba wa kiume aambaye yupo tayari kuingia katika maisha ya ndoa anaitajika. Vigezo : miaka 30 mpka 36awe tayari kucheck afya, awe mkristo awe na kazi...
Salaam nyote,
Kama title inavyojieleza. Miaka yangu ni 34, elimu yangu ni Advanced Degrees, nimeajiriwa. Makazi yangu ya kudumu ni Dar, ila kwa sasa naishi South Korea (contract assignment)...
Habari wanajamvi,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ni muajiriwa serikalini, natafuta mke mwenye umri kuanzia 18-28 elimu kuanzia kidato cha nne.
Tuwasiliane kwa email; mbwana26@gmail.com au PM
Habari wapendwa,
Tafadhali yule kaka aliyekuwa anahitaji mwenza mwenye tatizo kama lake la kutoweza kumpa ujauzito naomba anitafute kama bado ajampata huyo mwanamke.
Habar za jioni marafiki, naomba mtu yoyote ambaye yupo Kigali anisaidie kunipa kampani ili nipajue vizur kigali. Nitakuja kwa matembezi tu ya siku moja maana bajeti ni ndogo sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.