Swali la kizushi

Je mnadhani mke kumwambia mumewe "shikamoo" inaweza kujenga uoga..na salamu ya kawaida ikamfanya kuwa rafiki?
 
inategemea na mazingira ya ndoa mkuu, kama wameoana watu wa kabila moja ni rahisi sana ili kuwepo lakini tukikutana kiswahili zaidi(makabila tofauti) ipo ila inaugumu fulani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom