Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 889
- 1,014
Kwa rehema za Manani natanguliza amani
Moyo upo mashakani macho yapo gizani
Si lakuvunda wala la ubani kwake taabani
Kwa penzi lake la thati moyo upo rehani
Nikupendae ni ww wengine hawana thamani
By Abuuabdillah
Moyo upo mashakani macho yapo gizani
Si lakuvunda wala la ubani kwake taabani
Kwa penzi lake la thati moyo upo rehani
Nikupendae ni ww wengine hawana thamani
By Abuuabdillah