Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nina umri wa miaka 28 mwajiriwa, kwa kipindi nimekuwa natafuta mchumba na mke wa kumuoa bila mafanikio. Nimekuja rasmi kwa jukwaa hili kutangaza kwamba hili...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Jna naitwa Mohammed Ramsey Naish Dar es salaam Umri wangu miaka 26 Kabila langu Mzaramo Natafuta mchumba ili awe mke wangu Awe mwenye kujitambua na mwenye uelewa Umri awe kat ya 18_24 Alikuwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mi nna umri wa miaka 30.ni graduate wa shahada ya kwanza na nmejiajiri kwenye project zangu. Natafuta mchuchu mwenye nia ya dhati tufanye maisha whatsapp me through +255758502366
0 Reactions
19 Replies
4K Views
@mods delete hii kitu tafadhali
17 Reactions
188 Replies
13K Views
Nataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by
0 Reactions
47 Replies
11K Views
Habari za week end wana JF? Mimi binafsi niko salama namshukuru Mwenyezi Mungu, naomba nitumie nafasi hii adhim ya JF kujitafutia mume. Mwenye nia ya dhati anipm. Am serious jamani Utani tuweke...
21 Reactions
151 Replies
16K Views
Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka 31 ni muajiliwa serikalini elimu yangu ni shahada Nahitaji mke mwenye nia ya dhati kujenga familia umli miaka 24 mpaka 33 Kwa alie serious napatikana kwa...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Kuna kipindi nilikuja hapa jukwaani kulalamika na kuomba wanajukwaa hili wanisaidie kumpata mwanamke niliyempenda sana na ni member anayejulikana kwa jina la rubii baada ya jitihada za...
41 Reactions
344 Replies
21K Views
Sijui ni stress za maisha umeshaambiwa hapa ni LOVE Connect mtu anatoka alikotoka anaanza kuwakosoa wanaosaka wachumba Mara wawakejeli sasa umefungua page hii ya nini kama huna positive...
11 Reactions
31 Replies
4K Views
Re: ADVERTISMENT More than serious nahitaji mume wandugu Wana JF, mimi ni mwanadada na leo nimeona nijitoe muhanga kabisa maana ninahitaji mume/mchumba. Niko tayari kupokea kukosolewa ila...
10 Reactions
137 Replies
15K Views
Kuna huyu Binti n rafiki angu sana, ni rafiki wa kawaida tu. Ila amekuwa akinifanyia vitu kama mpenzi wake vile. Yan ananijali kuliko hata mpenz wangu. Yeye ana mpenz wake pia. Kila muda lazima...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za wakati ndugu zangu, Ninapenda kuomba msichana urefu wa cm 160, mweupe kidogo, mcha Mungu, elimu form six na kuendelea, bikira. Mnyenyekevu, kabila lolote, asiye na hasira mbaya; asiye...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Hodi wanaJF, Trending news ni Makonda na vita thidi ya madawa ya kulevya, naunga mkono mapambano hayo, lakini naendelea na ratiba yangu ambayo leo ndio siku yangu rasmi ya kutangaza nia ya...
1 Reactions
200 Replies
12K Views
Watu wenye masihara wamevamia jukwaa hili,unakuta MTU ameweka post ya kutafuta mpenzi kumbe hayuko serious,anataka aone tu wangapi watampaparikia! hasa wasichana na wanawake ndo wenye tabia hizi...
11 Reactions
105 Replies
6K Views
Mimi ni mvulana wa miaka 27 nafanyia kazi serikalini nikiwa kama afisa msafirishaji, natafuta mwenza niishi naye awe dini yeyote. Aliyetayari namkaribisha.mawasiliano.ukimbile@yahoo.com
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ninafuatilia taraka kwa mke tuliyeshindwana kuendelea kuishi naye. Maswali yatajibiwa kwa potential wife through pm. Wasema hovyo wanaruhusiwa kuongea kuondoa stress zao. Ex wife anajijua, naomba...
1 Reactions
89 Replies
4K Views
Habari za leo wana JF, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka asizidi 34, akiwa hana ama watoto ni sawa, wasizidi...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Hamjambo wanajukwaa hili? Nilikuwa nikipitapita wapi nitapata mpenzi; ndipo nimejikuta kutokea hapa JF (Love Connect) nikavutiwa napo naamini wengi waliopo hapa ni watu wasomi na waelewa pia...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
habari zénu leo niko nina feel so lonely naitaji kabinti kanako juwa ku make out kanitoe mawazo kesho week-end
0 Reactions
0 Replies
617 Views
Msichana anayetaka kuolewa anicheki 0677287265 na miaka 25 . kabila lolote dini yeyote umri miaka mwisho 24 .mim ni mtumixh wa kuajiliwa ktk sekta flani kama upo serious piga namba hiyo
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom