Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hi all Mimi ni mwanamme wa miaka 29,ninatafuta mpenzi wa kike. 1.Awe mwenye mapenzi ya dhati na mwenye kupenda mapenzi ya dhati,na mwenye kuthamini utu. 2.Sichagui rangi,ila kama ni mweupe...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 sasa nakuja hapa kwa mara ya kwanza, natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 23 kuendelea mpk 29. ambaye yupo tayari tuwewapenzi kwa ajili ya kuja kuoana...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 36 natafuta Mke wa kuoa atakaye kuwa tayari kuishi na mimi katika hali zote. Awe tayari pia kuishi na mume nje ya dar es salaam, awe na umri kuanzia 32 mpaka...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume Nina miaka 28 nahitaji binti wa miaka 20-25 aliyeko tayari kuanza mahusiano awe na hofu ya mungu, self respect, simple (no too much makeups) ametulia ,msafi,mcheshi, mrefu wa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28, ninatafuta msichana kuanzia miaka 20-25, ili awe mchumba na Mungu akipenda tuje kujenga familia huko mbeleni. Wasifu wangu; Mimi ni mfanyabiashara...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo 1. Awe na ngozi yake original ambayo haijachubuliwa wala kuongezwa chemical yoyote 2. Awe na nywele zake halisi 24hrs 3. Awe na nyuso kope na rangi ya macho yake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau natafuta Mwalimu aliemamaliza mwaka Jana awe make please, inbox me, awe mzuri na awe anaishi dar
0 Reactions
6 Replies
2K Views
1 Nina miaka 31 2 Mjasiria mali 3 Mwanamke awe na umri wa kuanzia 21hadi 27 4 Mkristo 5 Mwenye maadili ya kiafrika kwa ufupi awe na tabia njema 6 Asiwe na mtoto 7 Asiwe mtumiaji wa mikorogo yani...
0 Reactions
3 Replies
876 Views
Mimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
11 Reactions
136 Replies
13K Views
Mimi ni msichana ni mwalimu niko Shyinyanga natafuta mchuba umri miak32_38 awe mkristo, am serious sipendi dharau wala kebehi, Mungu awabariki, mwenye nia ani PM.
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Habar wana JF Natafuta girl alie na shida kama yang i mean natafuta mchumba miaka at least awe na 18=>23.... Mimi nina umri wa miaka 22 nina kaz inayoniingizia kipato alie tayar ani PM ni hayo 2.
0 Reactions
1 Replies
638 Views
Hello everyone, I am a woman who is looking for someone to start a friendship with a guy which could lead to other things. I am 31, I have 1 child. I have a PhD. I am down to earth and easy going...
12 Reactions
97 Replies
5K Views
Habari zenu wana JF, Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level. WASIFU WANGU Mimi nina umri wa miaka 31 Maji ya kunde Mkristu...
13 Reactions
85 Replies
13K Views
Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni
8 Reactions
160 Replies
24K Views
Habari zenu wadau, Nipo Tanga ni mfanyakazi.natafuta rafiki wa kike baadae aje kuwa mke . Umri wangu ni 35 Dini mkristo Sifa za ninaye mtaka. Mweusi Mrefu kiasi Awe mchapakazi na mbunifu hata kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 32,ni mwalim kwa tauuluma elim yangu ni degree moja.Mwanamke awe mwislam akiwa din nyingne akubali kubadlisha din, Elim yake isiwe chin ya kdato cha nne na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 27 elimu yangu ni diploma ya ualimu na nimebahatika kuajiriwa serikalini shule moja iliyo apa mkoni singida natafuta mwanamke ambae atakuwa tayar kuolewa na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini za jioni hii wana jamii Forum. Natafuta rafiki wa kike wa kuchat naye, kushauriana mambo ya maisha, pamoja na kubadilishana mawazo, sifa awe anaishi Mwanza, umri chini ya miaka 23. Mimi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za leo wana JF, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka asizidi 34, akiwa hana ama ana mtoto ni sawa. Mimi ni...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom