Katika maisha Binadamu Hupitia hatua 3 muhimu sana. Huanza na 1. utoto. 2. ujana/utu uzima 3. uzee. VIVYO HIVYO KWENYE SIASA.
1. kipindi hiki ubongo wa mtoto huwa unakuwa haujakomaa na ndo maana...
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amemjibu katibu mkuu wa zamani wa CCM, Yusuf Makamba aliyemtuhumu kuwa ni mwongo akisema leseni yake ni ya kuendesha magari makubwa na siyo...
Taarifa kutoka kwa Maofisa wengi wa Polisi ninaowafaham wamesema kuwa kumekuwa na watu wengi wakimiminika vituoni mwao kufungua mafaili ya kupotelewa vyeti vya kidato cha nne,cha sita na wengine...
Kwa muda mrefu niliamini kuwa CCM ilivyo sasa siyo tu haiwezi kuongoza mabadiliko lakini pia haipaswi kuongoza mabadiliko hayo. Sababu kubwa ni kuwa CCM ilikuwa ni moja; ilikuwa ni chama chenye...
Mpaka sasa mitaa inalia kwa sababu ya maisha magumu
Wale wa vijijini wanaokolewa na watu wa mjini
Elimu bure lakini bado kuna michango ya misosi huko shuleni
Madaftari kalamu pen penseli na vifaa...
katika kile kilichotafsiriwa kama kumjibu makamba gwajima amesema kua yeye ni kama dereva mwenye leseni ya kuendesha gari kubwa hivyo kuanza kujibizana na makamba ni kama kuacha gari kubwa na...
Sisi yetu macho na masikio tu.
Ni marudio ya Mkutano Mkuu wa CCM hasa hotuba ya Magufuli baada ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho.
Hotuba yake ndio inaendelea kwa sasa.
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amemjibu Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusuf Makamba aliyemtuhumu kuwa ni mwongo, akisema leseni yake ni ya kuendesha magari makubwa siyo...
MAGUFURI HAKUWA NA MAANDALIZI YA KUIONGOZA NCHI HII AMEPATA TU NAFASI HII KAMA ZALI FLANI HIVI LEO HII WATZ WAMEONA MAISHA YAKUWA KUWA MAGUMU AJIRA HAKUNA ANACHOKIANGALIA YEYE NI BORA LIENDE HII...
Lowassa aliwaambia muitishe Kikao cha dharura cha Kamati Kuu ili pamoja na mambo mengine kuhusu Mkutano Mkuu wa CCM, mtoe tamko kali kwa sababu CCM wangefanya Mkutano wa kumtambulisha Mwenyekiti...
Nimewaza sana ni kwa nini tunakosa vionjo muhimu kwenye Uchaguzi huu nimegundua vyama vyote vinatembea na wanahabari ambao wamewagharimia wenyewe zaidi ya kutegemea maripota waliopo mikoani.
Hii...
Mheshimiwa Rais, labda hili litakuwa gumu kidogo kwa wewe kuligundua maana viongozi wote wanapopita pale uwanjani huwa hawatumii njia na process hii ambayo sisi watu wa kawaida na wageni wanaotoka...
TUNAIBIWA
Habari,tangu miaka karibia kumi mzungu aingie na kuanza kuchimba makaa ya mawe,mheshimiwa Rais aliyepita aliahidi 2012 tungetengenezewa umeme Mkubwa unaotokana na makaa hayo ya mawe...
Akihojiwa na voice of America katika kipindi cha Straight Talk Africa, ndugu Emanuel Kawishe msemaji wa NEC amesema hajui hiyo data ya wapiga kura milioni 28 Kikwete aliipata wapi lakini...
Ni wazi kabisa wasiwasi umetanda kila mahali kuhusu Magufuli kukabidhiwa CCM kama mwenyekiti wake!ni mashaka tupu
Hii inatokana na ukweli kwamba magufuli sio mwanasiasa na hajui kuremba maneno...
Jana nimeshudia tambo za wapambe pale Dodoma na makada wa ccm kiasi kwamba zimezidi kupita kiasi. Inaelekea sasa ccm inashindwa kutofautisha kati ya serikali na chama cha siasa.
Kilicho nistua...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa Leo Julai 25.2016 katika viwanja vya Mashujaa...
Wadau, amani iwe kwenu.
Taarifa za kuaminika kutoka Ufipa zinadai kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoanza kikao chake jana na kitamalizika leo, wamechanganyikiwa sana baada ya wajumbe wa Mkutano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.