Ndugu waandishi wa habari kwanza tunawashukuru kwa kazi kubwa mliyoifanya kwa kuwaeleza Watanzania adhima yetu ya kwenda Dodoma, katika kuhakikisha BAVICHA tunaisimamia kauli Jeshi la Polisi na ya...
tarehe 23 July akipewa uenyekiti watu wengi watatimkia CCM Mpya iliyojaa uadilifu mkubwa!!sisi wote wenye mapenzi mema na taifa letu tujumuika kwa wingi!!!
Mungu mbariki Rais wetu ,Mungu ibariki...
Nadeclare interest kabisa mimi ni mwana ccm nina kadi ya chama iliyo hai kabisa kwamaana nailipia vizur.
Pia katika mchakato wa mwaka jana nilimuunga mkono Lowasa kupeperusha bendera ya CCM...
Katika kuelekea siku ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi tarehe 23/07, ambao ni mkutano mkuu wa"UTAMADUNI" (maana haupo kikatiba), Mwenyekiti wa sasa Mheshimiwa Kikwete anatarjiwa kutoa hotuba...
Polisi mkoani Singida wanamsaka mtu mmoja aliyesababisha kifo. Mtu huyo alisababisha kifo cha Mzee wa miaka 70 aliyemfanyia upasuaji wa tezi dume.
Maoni yangu: Mtuhumiwa alifanyaje vipimo vya...
Katika kuelekea siku ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi tarehe 23/07, ambao ni mkutano mkuu wa"UTAMADUNI" (maana haupo kikatiba), Mwenyekiti wa sasa Mheshimiwa Kikwete anatarjiwa kutoa hotuba...
Hawa polisi wetu kumbe Polisi Uchwara tu, leo katika mizunguko yangu nimejaribu mara kadhaa kuwapa polisi wetu kifuta jasho na vumbi chaa Sh.5000/- walichoruhusiwa na Rais na wakamshangilia...
Sijawahi kuwa mwanachama wa chama cha siasa..
Nilitamani sana mabadiriko ktk taifa langu..
CCM ya kabla ya JPM sikuipenda sababu ya kunyong'onyea ktk dira..
JPM ameonyesha nia ya dhati ya...
*NIUPATE WAPI MOYO WA JAKAYA NISIUGUE PRESHA?*
Hatimaye Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa anakwenda kukabidhi hadhi na Madaraka ya juu kabisa ya Chama kwa Rais wa sasa John...
Rais Mstaafu JK amekubali ombi la Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji, kushiriki katika mazungumzo ya kusaidia amani nchini Msumbiji.
MY TAKE;
Ni JK huyuhuyu ndiye alishirikiana na Dk. Shein na vyombo...
TURKEY walimu zaidi ya 15000 waeachishwa kazi na baadhi ya. Maprofesa vyuoni wameambiwa wajiuzuru bila sababu zozote za msingi zaidi ya ukosefu wa fedha,nawaza hili la Uturuki likija Tanzania watu...
Dah siyo mwandishi mzuri ila na amini wazo langu litafika,kutokana na tatizo la ajira lililopo katika nchi yetu pendwa TANZANIA,
KWANZA NAPENDA NIKUMBUKE KITABU KIMOJA SIJUI MWANDISH WA KITABU...
SWALI
Ni kwanini tunapandisha viwango vya ufaulu kuingia chuo kikuu huku bado tuna idadi ndogo ya wahitimu wa shahada mbali mbali kulinganisha na nchi zote kubwa Afrika Mashariki? Inamaana...
Wakuu Nawasalimu Sana.
Kama ilivyo ada mkuu wetu wa nchi ameendelea kutoa kauli ama tata au za kuudhi katika hotuba zake, suala la watalii ni mtambuka na linahitaji weledi mkubwa sana...
Turks living in Tanzania call for closure of Gülen schools, condemn the coup attempt
DAILY SABAH
ISTANBUL
Published 23 hours ago
The Turkish community living in the eastern African country of...
Kumsifia Rais kwa utendajiwake Ni jambo la hekima na busara kubwa. Si rahisi kwa wapinzani kufanya hili jambo.
Hongereni Sana, dhana kuwa wapinzani kazi Yao Ni kupinga Kila kitu kweni imekuwa...
wandugu nasikia kikao cha kumchagua mwenyekeiti ccm na kabla hajachaguliwa nimesikia jina lake,,,sasa kwa nini asifute hicho kikao ili kubana matumizi na tayari anajulikana tu ni yeye..
ebu...
WAKATI baadhi ya wanawake wakililia kupata walau mtoto mmoja, wapo wanaoamua kukatisha uhai wa viumbe hivyo vikiwa vingali tumboni kwa kuharibu mimba.
Utafiti uliofanywa hapa nchini mwaka 2013 na...
Hii nchi ilikokuwa imefikia karibu kila mtu alishafanya ufisadi kwa njia moja au nyingine, kwa kupitia mikataba kutokujua, kwa kujua au kupitia wasaidizi wake, ningekuwa mimi kitu ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.