Falsafa ya Chama
Falsafa ni fikra na mtazamo wa Chama ambayo ni kuamini katika "Nguvu na Mamlaka ya Umma" (The People's Power) katika kumiliki, kuendesha, kubuni, na kuendeleza maamuzi, mawazo...
Ali Muhsin Barwani wakati wa kupigania uhuru
wa Zanzibar
[5:06pm, 13/02/2016] Badru:
[5:06pm, 13/02/2016] Badru:
[5:06pm, 13/02/2016] Badru:
[5:06pm, 13/02/2016] Badru:
[5:06pm, 13/02/2016]...
Nimekuwa nikiona barua nyingi toka Ikulu hasa humu jukwaani zikiwa na maelekezo ya Rais na zimesainiwa na Msemaji wa Rais.
Hivi ni kwanini hizi barua hazina namba ya kumbukumbu kama barua...
Naomba kuuliza mwenye taarifa sahihi kuhusu safari ya Dodoma ya kuzuia mkutano wa CCM tarehe 23 kama bado ipo au wameghairi, wiki iliyopita BAVICHA walisema hawatarudi nyuma.Wiki hii naona wapo...
Amani iwe nanyi!
Wapendwa Watanzania wenzangu naimani sote tunakumbuka kuwa Mh. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward lowassa, aligombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA na kuungwa mkono na vyama...
Kuna taarifa kutoka chanzo kimoja cha siasa kilicho karibu na nguli wa siasa nchini tanzania mzee lowassa ,
huenda akawa ni mmoja wapo wa wageni watakao hudhuria shughuli hiyo ya kukabidhiwa...
Kuna thread humu JF, inayosema CCM mpya yaja na kazi yake kubwa itakuwa kuwaondoa mafisadi na wasaliti.Nimekuwa najiuliza kumbe CCM inajijua kuwa ndani yake kuna mafisadi?
Niliamini in chama safi...
Ivi huyu mzee alisharudisha kadi? Ana npango gan? Maana bado anamamluki ndani ya chama
Nasikia 23 atahudhuria ingawa UKAWA wamekana kuhudhuria maana yake anasauti zaid yao
Utaratibu wa kuajiri watumishi/wafanyakazi wapya umekuwa chanzo cha kukwamisha mageuzi chanya/maendeleo ktk nchi hii. Kigezo cha "uzoefu/experience ya miaka kadhaa" kimekuwa kikichangia kubakiza...
Rais wangu unayeonyesha njia. Naomba niseme hakuna kitu kibaya kama mtu muelewa anapoonyesha ujinga kwa amkusudi. Ma-profesa wanaongoza taasisi za elimu ya juu, taasisi ambazo kwa wengi wetu ndo...
Nafikiri kukishauri chama kirekebishe katiba kwenye suala la uongozi wa Mwenyekiti kwamba mwenyekiti lazima awe rais.
Maana inaonekana ineandaliwa kwa kila ifikapo kuchagua kiti hiki tunatakwa...
Mmoja kati ya Mawaziri ninaowakubali sana Makame Mbarawa (PhD) akiwa kazini site!
Full Upendo kwa watu wetu!
Br. ya Njombe -Makete (km 109) kujengwa na kwa kiwango cha lami!
Picha...
Kwa sasa tunaweza kuiona serikali japo siyo kwa macho bali kwa utendaji wake.Wakati wa mwalimu ilikuwa ukimuangalia tu mtu utajua aidha huyu ni mtumishi wa umma, askari au mwanasiasa.Niseme tu...
Baada ya ndugu Mrema kupewa uenyekiti wa bodi ya parole (sijui Kiswahili chake ni nini) na huku ikionekana nafasi zinaanza kuisha kuna ndugu mmoja anakumbushia ahadi uliyompa ya kwamba ukipata...
Wanaukumbi habari.
CHADEMA, waanze kwanza kupigania Demokrasia ndani ya Chama chao ndiyo waje kwenye Taifa.
Mbowe kaanza kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wakati huo Jakaya Kikwete, akiwa Waziri wa...
USHAURI KWA UONGOZI MPYA WA CCM UNAOTARAJIWA KUSIMIKWA RASMI TAREHE 23/07/2016.
Kwanza binafsi ninafuraha kuona siku zimebaki chache za kamanda wetu na Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli...
Ni jambo jema na la kuungwa mkono kuhakiki watumishi,wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na kuhakiki vyeti vya watumishi wa serikali.
Swali langu:Ni lini Deni la Taifa nalo litahakikiwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.