Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Waziri Mkuu ana mipasho kama mdada wa buza , huyo ndio kiongozi tena mkubwa tu mmetuletea CCM , kama anahitaji kupendwa na mkewe si aende akaendeleze mapenzi naye na aachie ofisi ya umma maana...
6 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mambo yote ambayo wapinzani na watanzania wanalalamikia serikali naona Nchimbi naye anasema ni mambo ya kijinga yanayofanywa na serikali yake na Mama wetu fake. Sasa je nchimbi ni mnafiki tu au...
5 Reactions
Replies
Views
Tatizo sio kuhesabu Kura wala mawakala kusaini Bali kwenye utumaji wa matokeo kwenda kwenye tallying centre hapo ndio mifumo INASOMANA?
1 Reactions
10 Replies
786 Views
GT Huu ni ushauri wa bure tu hauna gharama yoyote. TEC mara zote hushauri mambo mema huku wakiwa hawana tamaa na maslahi binafsi. Kitendo cha Samia kuwapuuza hawa jamaa kitamtesa milele hadi...
9 Reactions
37 Replies
761 Views
Haya matamko ya polisi Musoma kuwa wanazuia maazidhimisho ya chadema ya Siku ya wanawake duniani, italeta mauaji kama ya October 29,2025. Tunayasema haya wenye mamlaka wazuie POLISI kufanya...
5 Reactions
16 Replies
286 Views
Tusichukue bidhaa za watu, tusitupe bidhaa za watu hiyo ni mitaji yao - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba. 📍Katesh-Manyara 🗓️Machi Mosi, 2026
0 Reactions
1 Replies
102 Views
Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa banda la kupokelea samaki katika soko la kimataifa la samaki lilipo eneo la Katambe Magarini lililojengwa kwa fedha za mfuko wa ndani Halmashauri kiasi cha Tsh...
34 Reactions
104 Replies
6K Views
Leo kila kona ya Tanzania ni hotuba fupi aliyoitoa Dk Nchimbi hapo jana msibani. Imefikia hatiua mnatamka hadharani kuwa Dk Nchimbi ndio alifaa na alipaswa kuwa rais. Nawapa angalizo mnamtafutia...
10 Reactions
53 Replies
833 Views
Huwa nacheka Sana CCM wanapokuwa wanashangaa matatizo ya watanzania kama vile ni watu wasioishi ndani ya Tanzania.
5 Reactions
9 Replies
165 Views
Angalia namna walivyomshangilia Kassim Majaliwa muislam na namna walivyoshangiliwa mwigilu na nchimbi wakatoliki. Mtazamo kwanini ilikuwa vile. 1. Mwigilu nchemba ni muovu binafsi toka kitambo. 2...
9 Reactions
19 Replies
434 Views
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba siku ya wanawake ya Dunia siyo shughuli ya Kisiasa Wala si sherehe ya COM ama si mali ya TANZANIA ama viongozi wake Hii ni siku ya Dunia isiyochangamana na masuala...
8 Reactions
17 Replies
435 Views
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara limewataka viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) kusitisha mpango wao wa kufanya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi...
2 Reactions
35 Replies
659 Views
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini. Amesema kuwa...
0 Reactions
3 Replies
121 Views
Israel na Marekani zimeanza vita na Iran kwa kushambulia viongozi wakuu wa Serikali ya Iran, Swali ni wapi huwa wanapata taarifa? Jirani yoyote akitaka kuipiga Tanzania chini ya CCM, atashinda...
4 Reactions
17 Replies
368 Views
  • Redirect
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini. Amesema kuwa...
0 Reactions
Replies
Views
Ataka fedha zitafutwe kujenga barabara ya Katesh - Babati. Akataza watendaji kuchukua bidhaa za wajasiriamali wadogo WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia...
0 Reactions
2 Replies
137 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka,chuma cha reli ,shujaa wa Afrika na jasiri muongoza njia Ametua na kuingia ndani ya jiji la...
0 Reactions
5 Replies
184 Views
Wanajua hadi idadi ya vifo vya wanafunzi wa Irani waliouawa jana umbali wa maelfu ya maili, lakini wanajifanya hawajui idadi ya vifo vya watoto waliouwawa Mwanza wakiangalia mpira. Waandishi na...
18 Reactions
19 Replies
307 Views
Back
Top Bottom