Waziri Mkuu ana mipasho kama mdada wa buza , huyo ndio kiongozi tena mkubwa tu mmetuletea CCM , kama anahitaji kupendwa na mkewe si aende akaendeleze mapenzi naye na aachie ofisi ya umma maana...
Mambo yote ambayo wapinzani na watanzania wanalalamikia serikali naona Nchimbi naye anasema ni mambo ya kijinga yanayofanywa na serikali yake na Mama wetu fake. Sasa je nchimbi ni mnafiki tu au...
GT
Huu ni ushauri wa bure tu hauna gharama yoyote. TEC mara zote hushauri mambo mema huku wakiwa hawana tamaa na maslahi binafsi.
Kitendo cha Samia kuwapuuza hawa jamaa kitamtesa milele hadi...
Haya matamko ya polisi Musoma kuwa wanazuia maazidhimisho ya chadema ya Siku ya wanawake duniani, italeta mauaji kama ya October 29,2025.
Tunayasema haya wenye mamlaka wazuie POLISI kufanya...
Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa banda la kupokelea samaki katika soko la kimataifa la samaki lilipo eneo la Katambe Magarini lililojengwa kwa fedha za mfuko wa ndani Halmashauri kiasi cha Tsh...
Leo kila kona ya Tanzania ni hotuba fupi aliyoitoa Dk Nchimbi hapo jana msibani.
Imefikia hatiua mnatamka hadharani kuwa Dk Nchimbi ndio alifaa na alipaswa kuwa rais.
Nawapa angalizo mnamtafutia...
Angalia namna walivyomshangilia Kassim Majaliwa muislam na namna walivyoshangiliwa mwigilu na nchimbi wakatoliki. Mtazamo kwanini ilikuwa vile.
1. Mwigilu nchemba ni muovu binafsi toka kitambo.
2...
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba siku ya wanawake ya Dunia siyo shughuli ya Kisiasa Wala si sherehe ya COM ama si mali ya TANZANIA ama viongozi wake
Hii ni siku ya Dunia isiyochangamana na masuala...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi.
Amesema hayo leo Jumapili...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara limewataka viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) kusitisha mpango wao wa kufanya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini.
Amesema kuwa...
Israel na Marekani zimeanza vita na Iran kwa kushambulia viongozi wakuu wa Serikali ya Iran, Swali ni wapi huwa wanapata taarifa?
Jirani yoyote akitaka kuipiga Tanzania chini ya CCM, atashinda...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini.
Amesema kuwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka,chuma cha reli ,shujaa wa Afrika na jasiri muongoza njia Ametua na kuingia ndani ya jiji la...
Wanajua hadi idadi ya vifo vya wanafunzi wa Irani waliouawa jana umbali wa maelfu ya maili, lakini wanajifanya hawajui idadi ya vifo vya watoto waliouwawa Mwanza wakiangalia mpira.
Waandishi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.