Polepole hakutakiwa kusema hili jambo

Polepole hakutakiwa kusema hili jambo

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,444
Reaction score
5,182
Mimi sio kitengo na wala sio mwana siasa na wala sina chama chochote, ila mi ni mtu tu ambae nafatilia siasa kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Katika kufatilia zile harakati za pole pole wakat ameanza injili ya ukombozi, kuna kitu alikisema na alivyokisema mi moja kwa moja nilimwambia Mzee wangu hapa huyu jamaa hawamuachi hata kwa uchawi watamuua tu..Mzee akacheka sana.

Ila ukweli ni kua pamoja na yale yote Pole Pole kuongea na wakubwa kuguswa Maungio yao waliumia sawa ila haikua kwa kiasi cha kuwaza kumpoteza..Pole pole alisema Mengi ila katika hayo Mengi ni Moja tu ndio lilopelekea wamusake na wamupoteze.

Pole pole aliposema tu kua Tunatakiwa tukikomboa hii Nchi Ile Ibara ya kusema Rais aliekua madarakani hashitakiwi ifutwe na tuanze na hawa.

Pale aligusa mwiba SAMIA akaona kumbe hutaki tu kuwafumbua macho watanzania bali unataka ninyongwe au nifungwe.

Na wafatiliaji wa zile Live zake nahisi mtakumbuka wakat anasema lile jambo aliomba samahan alijua athari zake zitakazo kuja...alijua kua ile kauli itamuuma sana SAMIA..ila lazima iwe hivo.

We ungekua Mkulu ungefanya aje?

Najua we una mawazo mazuri ungewaza tofauti ila wengine ndio hivo ni form four failure.
 
Watu kama wale hawatakiwi kuuwawa japo hata huko kuliko endelea wanawasaka sana watu kama kina polepole wa mwishoni.

Wale ni watu ambao wakitumiwa na upande wa pili wa mfumo wanatumika kuibalansi mamalaka na kuweka uwiano na kukumbusha wajibu na kwamba dunia haikuwagi na mwelekeo wa sambamba , kuna kupanda na kushuku kuna jana na leo hivyo wakati fulani era inaweza kubadilika wakiwa wamejisahau hao wenye mamlaka.
 
Akina PolePole, mauaji ya MO29, kuwekwa Jela Tundu Lisu na mengine mengi ni mambo ya kawaida kutokea kwa nchi yoyote ile inayotafuta mageuzi au mabadiliko kwa ustawi wajamii…Sio rahisi nchi kupata mabadiliko au mageuzi kwa njia ya amani, lazima damu za watu zimwagike…imetokea South Afrika, Kenya, Rwanda na kwengine.

Na wakimuacha uyu mama afike 2030, kuna damu nyingi zaidi zitamwaga, maana atataka kumuacha kibaraka wake kwa nguvu zile zile alizotumia Oktoba 29.

Hitimisho: Huwezi kuzuia mabadiliko hasa kwa nchi kma Tanzania ambako Maraisi wanabadilika badilika hata kma ni ya chama kimoja. (The enemy within).
 
1784558062110.png
... MORTAL COMBAT POLITICS FOR YOU!
 
Akina PolePole, mauaji ya MO29, kuwekwa Jela Tundu Lisu na mengine mengi ni mambo ya kawaida kutokea kwa nchi yoyote ile inayotafuta mageuzi au mabadiliko kwa ustawi wajamii…Sio rahisi nchi kupata mabadiliko au mageuzi kwa njia ya amani, lazima damu za watu zimwagike…imetokea South Afrika, Kenya, Rwanda na kwengine.

Na wakimuacha uyu mama afike 2030, kuna damu nyingi zaidi zitamwaga, maana atataka kumuacha kibaraka wake kwa nguvu zile zile alizotumia Oktoba 29.

Hitimisho: Huwezi kuzuia mabadiliko hasa kwa nchi kma Tanzania ambako Maraisi wanabadilika badilika hata kma ni ya chama kimoja. (The enemy within).
Kabisa lazima kuepo maumivu kwa ajili ya kusimuliwa kizazi kijacho waelewe namna gani watu waliumia
 
All in all. Yule MCCM hakua makini. Hakutakia kuchoma sindano zile watawala akiwa jirani kabisa huko ununio tena kwenye nyumba ya kupanga
Mimi sio kitengo na wala sio mwana siasa na wala sina chama chochote, ila mi ni mtu tu ambae nafatilia siasa kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Katika kufatilia zile harakati za pole pole wakat ameanza injili ya ukombozi, kuna kitu alikisema na alivyokisema mi moja kwa moja nilimwambia Mzee wangu hapa huyu jamaa hawamuachi hata kwa uchawi watamuua tu..Mzee akacheka sana.

Ila ukweli ni kua pamoja na yale yote Pole Pole kuongea na wakubwa kuguswa Maungio yao waliumia sawa ila haikua kwa kiasi cha kuwaza kumpoteza..Pole pole alisema Mengi ila katika hayo Mengi ni Moja tu ndio lilopelekea wamusake na wamupoteze.

Pole pole aliposema tu kua Tunatakiwa tukikomboa hii Nchi Ile Ibara ya kusema Rais aliekua madarakani hashitakiwi ifutwe na tuanze na hawa.

Pale aligusa mwiba SAMIA akaona kumbe hutaki tu kuwafumbua macho watanzania bali unataka ninyongwe au nifungwe.

Na wafatiliaji wa zile Live zake nahisi mtakumbuka wakat anasema lile jambo aliomba samahan alijua athari zake zitakazo kuja...alijua kua ile kauli itamuuma sana SAMIA..ila lazima iwe hivo.

We ungekua Mkulu ungefanya aje?

Najua we una mawazo mazuri ungewaza tofauti ila wengine ndio hivo ni form four failure.
 
2030 patakuwa patamu sana.

Huku Nchimbi (kipenz cha wana mfumo) na kule Nchemba (kipenz cha Mama).

Kijana wa Idara
Hao wote CCM haipitishi, mwenyekiti wao alishasema atamchagua mwenyewe anayemtaka na sidhani kama hao wawili anawataka. Msishangae mgombea ni Ridhiwani na kwa unafiki wa CCM watampitisha kwa 100%!!

Bila katiba kubadilika tunapoteza muda tu
 
Hao wote CCM haipitishi, mwenyekiti wao alishasema atamchagua mwenyewe anayemtaka na sidhani kama hao wawili anawataka. Msishangae mgombea ni Ridhiwani na kwa unafiki wa CCM watampitisha kwa 100%!!

Bila katiba kubadilika tunapoteza muda tu

Niamini kaka.
Nchemba ni kipenz cha Mama.

Alaf unajua kwann sikuhizi Mama hawez mkeka wa wakuu wa wilaya na mikoa kama alivyokuwa anafanya before Uchaguzi?.

Kijana wa Idara
 
Polepole alisababisha mpaka Rostam atoke huko machakani alipokuwepo baada ya miaka mingi kutoonekana kwenye media na kufanya interview iliyoandaliwa kimkakati kumsafisha akiwa na Tido Mhando.

Polepole aliwakaanga vibaya sana Kikwete na Rostam..


Na walitumia nguvu kubwa mno kumtafuta yule jamaa, kama ni dau basi walitangaza dau kubwa mno.. walianza kukata internet kila jamaa alipokuwa live ikafikia muda wakaona ni kutwanga maji mwenye kinu.

Polepole angewaua wale wazee kwa pressure. Asingetekwa sijui ingekuwaje.
 
Akina PolePole, mauaji ya MO29, kuwekwa Jela Tundu Lisu na mengine mengi ni mambo ya kawaida kutokea kwa nchi yoyote ile inayotafuta mageuzi au mabadiliko kwa ustawi wajamii…Sio rahisi nchi kupata mabadiliko au mageuzi kwa njia ya amani, lazima damu za watu zimwagike…imetokea South Afrika, Kenya, Rwanda na kwengine.

Na wakimuacha uyu mama afike 2030, kuna damu nyingi zaidi zitamwaga, maana atataka kumuacha kibaraka wake kwa nguvu zile zile alizotumia Oktoba 29.

Hitimisho: Huwezi kuzuia mabadiliko hasa kwa nchi kma Tanzania ambako Maraisi wanabadilika badilika hata kma ni ya chama kimoja. (The enemy within).
Sasa South Afrika, Kenya na kwingineko huko kuna nini kipya zaidi ya uanaharakati uchwara tu? Watu bado maskini vile vile. Hii dunia haiendeshwi kwa maneno na siasa, inaendeshwa na wenye nguvu, wenye akili, wenye subira, wenye vitendo, wenye matokeo.

Wale weusi wa Afrika Kusini wapo bize na maneno wakati mzungu yuko analima, anafanya tafiti, anathubutu, anafanya, akikosea anajikosoa na kurekebisha na kusonga mbele. Wale vichaa akina Malema wapo bize kulaumu, kulalamika na kuwafanyia vurugu waliokwisha fanikiwa.

Polepole ndo wale wale!! Too much tantalila wakati watu wanamove-on na kupiga kazi. Sionei huruma mi mtu asie na akili.
 
Back
Top Bottom