Kama una makosa basi uhukumiwe kwa kosa lako. Kusema kukinukisha ni uhaini?
Hata hata ule uhaini wa wale wanajeshi waliompinga hayati Nyerere hawakupindua kwa maneno kama haya. Walipanga kutumia...
02 Agosti 2026
Dokumentari - Usaliti kwa MAGUFULI Hadi Saa Yake ya Mwisho
https://m.youtube.com/watch?v=de8Zv6MMh8c
🔴MUHTASARI WA VIDEO ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ Rais John Pombe Magufuli alikuwa...
Hii ni hati ya mashtaka (Charge Sheet) dhidi ya Peter Michael Madeleka, wakili. Kwa ufupi, inasema:
Anachotuhumiwa nacho
Madeleka amefunguliwa makosa 5 ya “Contempt of Court” (kudharau/kukiuka...
Sisi tuliotembea nchi kama South Afrika na Ulaya tunafahamu haya
Ukiwa na safari na basi unaweza ukapandia popote. Unaweza ukapandia kwenye ofisi za basi unalotaka kusafiri nalo, ukapandia hata...
Kamati imekutana leo kwa ajili ya kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Halmashauri ya Wilaya ya Same kwa mwaka wa fedha 2023/2024 na 2024/2025.
Wakati wa uchambuzi wa Taarifa...
Nchi yetu ya Tanzania imekuwa kama nchi ya laana, damu inamwagika Kila sehemu.
Polepole alifanya mistake kubwa kurudi bongo na kujitangaza Kwa majigambo kuwa Yuko bongo. Tanzania ina intelligence...
Nadhani sote ni mashahidi jinsi ambavyo viongozi vijana wa CCM walivyo brilliant na excellent katika kujieleza, kujenga na kutetea hoja mbalimbali za kisiasa, kijamii na kiuchumi, ukilinganisha na...
CCM walianza na ngonjera ya Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania. Baada ya kuimba ngonjera hii kwa muda wa miaka 5 na kukosa muitikiaji, wakaamua kubalili mapigo na kuibuka na ngonjera mpya waliyoipa...
Kwa mapana yake
Tulipotoka
Tulipo na tuendako
Tupopatia tulipokosea na tulipoumizwa
Tulipopotea, tulipokengeuka, tuliporubuniwa na tulipojisahau
Tuwajadili pia wazalendo waliojaribu kuipigiania...
"Maridhiano sio kwa ajili ya Vyama Vya siasa tu. John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA) anaposema maridhiano hadi awepo Tundu Lissu ni utashi wake yeye...
Habarini waungwana,
Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka.
Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na...
Stendi ni mradi wa kunufaisha Serikali na kuibia wasafiri Kwa tozo plus kuongezea gharama za usafiri Wananchi.
Wewe maskini kushadidiq stendi ambayo Haina faida kwako ni ujinga wa Hali ya Juu...
Nataka kuelewa kuhusu haya maridhiano ya Kitaifa yanayozungumzwa sana.
Maaridhiano haya ni baina ya nani na nani? Kama ni ya Kitaifa swali langu "Kwani kuna mgogoro au kutoelewana baina ya nani...
Baadhi ya watu wamedai kujaziwa mafuta kwenye magari yao ambayo yana maji kwenye kituo cha mafuta cha Total energies Shinyanga na walipomfuata meneja wa kituo hakuwapa majibu mazuri,
Hata hivyo...
Kukamatwa kwa Nabii Tito ni Ishara tosha kwamba Polisi wanatumilka Kisiasa.
Mwaka 2018 Polisi walimkamata Dodoma, Halafu wakampeleka Mirembe, kisha wakamuachia eti ana matatizo ya akili. Kipindi...
Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amemjibu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, akisisitiza kuwa uongozi wa nchi...
Kamwe haiwezekani tuishi au kufanya mambo yetu kienyeji au kama wanyama wa porini.
Kama tuliamua kufuata taratibu nzuri za kimagharibi tuzifuate kikamilifu na zile mbaya tuziache kikamilifu.
Zipo...
Meya wa Manispaa ya Mjini, Mohamed Ibrahim amesema Serikali kupitia mamlaka zake imeanza kufanya uchunguzi wa kina kufuatia kugundulika kwa bomba lenye mafuta yaliyochanganyika na maji katika eneo...
Pride Tanzania inamilikiwa na serikali 100%
ilisajiriwa mwaka1993 Mei 5
Hesabu za pride hazijawahi kuwasilishwa kwa CAG kama inavyotakiwa kisheria
kutowasilishwa mahesabu kunazua maswali mazito...