Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama una makosa basi uhukumiwe kwa kosa lako. Kusema kukinukisha ni uhaini? Hata hata ule uhaini wa wale wanajeshi waliompinga hayati Nyerere hawakupindua kwa maneno kama haya. Walipanga kutumia...
3 Reactions
8 Replies
138 Views
02 Agosti 2026 Dokumentari - Usaliti kwa MAGUFULI Hadi Saa Yake ya Mwisho https://m.youtube.com/watch?v=de8Zv6MMh8c 🔴MUHTASARI WA VIDEO ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ Rais John Pombe Magufuli alikuwa...
16 Reactions
41 Replies
1K Views
Hii ni hati ya mashtaka (Charge Sheet) dhidi ya Peter Michael Madeleka, wakili. Kwa ufupi, inasema: Anachotuhumiwa nacho Madeleka amefunguliwa makosa 5 ya “Contempt of Court” (kudharau/kukiuka...
4 Reactions
29 Replies
454 Views
Sisi tuliotembea nchi kama South Afrika na Ulaya tunafahamu haya Ukiwa na safari na basi unaweza ukapandia popote. Unaweza ukapandia kwenye ofisi za basi unalotaka kusafiri nalo, ukapandia hata...
14 Reactions
56 Replies
676 Views
Kamati imekutana leo kwa ajili ya kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Halmashauri ya Wilaya ya Same kwa mwaka wa fedha 2023/2024 na 2024/2025. Wakati wa uchambuzi wa Taarifa...
0 Reactions
0 Replies
21 Views
Nchi yetu ya Tanzania imekuwa kama nchi ya laana, damu inamwagika Kila sehemu. Polepole alifanya mistake kubwa kurudi bongo na kujitangaza Kwa majigambo kuwa Yuko bongo. Tanzania ina intelligence...
12 Reactions
62 Replies
1K Views
Nadhani sote ni mashahidi jinsi ambavyo viongozi vijana wa CCM walivyo brilliant na excellent katika kujieleza, kujenga na kutetea hoja mbalimbali za kisiasa, kijamii na kiuchumi, ukilinganisha na...
4 Reactions
55 Replies
202 Views
CCM walianza na ngonjera ya Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania. Baada ya kuimba ngonjera hii kwa muda wa miaka 5 na kukosa muitikiaji, wakaamua kubalili mapigo na kuibuka na ngonjera mpya waliyoipa...
55 Reactions
784 Replies
98K Views
Kwa mapana yake Tulipotoka Tulipo na tuendako Tupopatia tulipokosea na tulipoumizwa Tulipopotea, tulipokengeuka, tuliporubuniwa na tulipojisahau Tuwajadili pia wazalendo waliojaribu kuipigiania...
16 Reactions
118 Replies
4K Views
  • Featured
"Maridhiano sio kwa ajili ya Vyama Vya siasa tu. John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA) anaposema maridhiano hadi awepo Tundu Lissu ni utashi wake yeye...
3 Reactions
65 Replies
1K Views
Habarini waungwana, Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka. Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na...
2 Reactions
16 Replies
399 Views
Stendi ni mradi wa kunufaisha Serikali na kuibia wasafiri Kwa tozo plus kuongezea gharama za usafiri Wananchi. Wewe maskini kushadidiq stendi ambayo Haina faida kwako ni ujinga wa Hali ya Juu...
10 Reactions
59 Replies
362 Views
Nataka kuelewa kuhusu haya maridhiano ya Kitaifa yanayozungumzwa sana. Maaridhiano haya ni baina ya nani na nani? Kama ni ya Kitaifa swali langu "Kwani kuna mgogoro au kutoelewana baina ya nani...
17 Reactions
70 Replies
569 Views
Baadhi ya watu wamedai kujaziwa mafuta kwenye magari yao ambayo yana maji kwenye kituo cha mafuta cha Total energies Shinyanga na walipomfuata meneja wa kituo hakuwapa majibu mazuri, Hata hivyo...
0 Reactions
2 Replies
308 Views
Kukamatwa kwa Nabii Tito ni Ishara tosha kwamba Polisi wanatumilka Kisiasa. Mwaka 2018 Polisi walimkamata Dodoma, Halafu wakampeleka Mirembe, kisha wakamuachia eti ana matatizo ya akili. Kipindi...
6 Reactions
23 Replies
385 Views
Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amemjibu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, akisisitiza kuwa uongozi wa nchi...
5 Reactions
33 Replies
438 Views
Kamwe haiwezekani tuishi au kufanya mambo yetu kienyeji au kama wanyama wa porini. Kama tuliamua kufuata taratibu nzuri za kimagharibi tuzifuate kikamilifu na zile mbaya tuziache kikamilifu. Zipo...
1 Reactions
0 Replies
16 Views
Meya wa Manispaa ya Mjini, Mohamed Ibrahim amesema Serikali kupitia mamlaka zake imeanza kufanya uchunguzi wa kina kufuatia kugundulika kwa bomba lenye mafuta yaliyochanganyika na maji katika eneo...
3 Reactions
6 Replies
255 Views
Pride Tanzania inamilikiwa na serikali 100% ilisajiriwa mwaka1993 Mei 5 Hesabu za pride hazijawahi kuwasilishwa kwa CAG kama inavyotakiwa kisheria kutowasilishwa mahesabu kunazua maswali mazito...
2 Reactions
103 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…