Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,350
- 37,845
Heshima sana wanajamvi,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche.
Ni kawaida katika medani za siasa viongozi kurushiana vijembe. Lakini kwanini Heche na si Sugu au viongozi wengine ?.
Kwa maoni yangu nadhani CDM walitakiwa kuwatumia viongozi wote wa kanda zote badala ya kumwachia Heche pekee yake.Kitendo cha kumwachia kiongozi mmoja kila kitu hasa mikutano ya hadhara naamini ni udhaifu mkubwa.
Ebu tufikiri kidogo kama wenyeviti wa Kanda zote wangefanya mikutano katika kanda zao kina Wassira,Mwanri.......wangechoka,wasingejua wamshambulie nani wamwache nani.
Ngongo kwasasa viunga vya Mahakama Kuu Masijala ndogo Mzizima.
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche.
Ni kawaida katika medani za siasa viongozi kurushiana vijembe. Lakini kwanini Heche na si Sugu au viongozi wengine ?.
Kwa maoni yangu nadhani CDM walitakiwa kuwatumia viongozi wote wa kanda zote badala ya kumwachia Heche pekee yake.Kitendo cha kumwachia kiongozi mmoja kila kitu hasa mikutano ya hadhara naamini ni udhaifu mkubwa.
Ebu tufikiri kidogo kama wenyeviti wa Kanda zote wangefanya mikutano katika kanda zao kina Wassira,Mwanri.......wangechoka,wasingejua wamshambulie nani wamwache nani.
Ngongo kwasasa viunga vya Mahakama Kuu Masijala ndogo Mzizima.