Kila kiongozi,mwanachama,shabiki na hata wanaotaka kuingia chadema huja na kiki ya katiba,
akiulizwa swali vipi kuhusu kuitoa ccm madarakani jibu huwa rahisi tu aah tatizo ni katiba tu kama...
MKUTANO wa Tisa wa Bunge unaendelea leo huku miswada minne ikitarajiwa kuwasilishwa ukiwemo wa kutungwa Sheria ya kuanzisha Shirika la Mawasiliano wa Tanzania na kufuta Kampuni ya Simu Tanzania...
Ninasikitishwa mno na Malalamiko ya Mh.Mbunge huyu, Je sisi watu wa Chato siyo Watanzania? Hatuna thamani? Madai ya kuwa ni "Misuse of resources" haoni kuwa ni matusi? Kwa wananchi wa Chato ni...
Akiwa kwenye mjadala unaohusiana na namna ya kudhibiti taarifa feki (fake news), Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumzia matumizi ya sosho media hapa...
Rais na Waziri wake mkuu watapata kazi sana kusafisha hii nchi,Ningewashauri kitu kimoja kama kweli wanataka kusafisha nchi hii na siyo "kuonekana wanasafisha" wakati ukweli hakuna kitu...
Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma moto vifaranga 6000 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege na kuteketeza mtaji wa aliyevileta ili kama kuna njia nyingine...
careerist political prostitutes,kuna viongozi wengi sana sasa hivi wanaangukia katika category hii,ningependa sana wanajamvi mnisaidie kutafsiri kiswahili neno hilo,tunaona viongozi wengi...
Wazungu wanasema the best friend of TRUTH is time...namwona Kigwangala akishindwa kutimiza vyema majukumu yake kama Waziri wa Maliasili kwa sababu anaonekana ni naive, incompetent and lacking...
Maana kubwa ya kuanzishwa mfumo wa vyama vingi nchini ni kujibizana kwa hoja. Hiiyo maana yake ni kuwa kama wapinzani wanaikosoa serikali kwa jambo fulani, ni wajibu wa Chama kinachounda serikali...
Kiukweli kasi aliyoingia nayo mh Kigwangala katika baraza la mawaziri imedhihirisha uthubutu alionao katika kupigania maendeleo ya taifa hili. Kwa kuwa kipaumbele kikuu cha serikali ya awamu ya 5...
Lazaro Nyalandu inawezekana hujui Tu, Ila tambua kuwa kuondoka kwako kumekuwa mwiba kwenye roho zao... Umewatesa Sana na hawajategemea, lazima wakutende hvi.
Kumbuka hata barua yako ya kuhama...
Balozi Khamis Kagasheki ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii kupitia mtandao wa twitter 'amemshukia' Waziri wa sasa wa Maliasili na Utalii, Dkt. Kigwangalla kuhusu tuhuma alizomrushia...
Hii ni kwasababu mara ya mwisho tunaambiwa vitalu viligaiwa mwaka 2013 na hivyo tulitarajia vigaiwe tena mwaka 2018 na si kabla ya hapo.
Anaeweza kutuwekea sheria yote hapa naomba afanye hivyo na...
Sikiliza hotuba za wanaCCM wanaopiga kelele kitaluni kukosoa miradi ya Magufuli kisha nenda katafute file zao ndipo utagunduwa this time akili kubwa ipo ikulu na akili ndogo zilizobebwa mpaka...
"Polisi watuache tupambane na CCM, wasitumike kama 'Think Tank ya Chama Tawala', sasa Polepole atakuwa na kazi gani kama kazi yake inafanywa na Jeshi la Polisi? Hatutatishika, tunasonga mbele".
-...
INASIKITISHA sana kuona WAZIRI Kigwangalla akitumia MUDA wake ndani ya BUNGE leo kunichafua, kunidhihaki, na kusema UONGO na UZUSHI dhidi yangu, ikiwa ni NJAMA za makusudi zilizopangwa kunichafua...
INASIKITISHA sana kuona WAZIRI Kigwangalla akitumia MUDA wake ndani ya BUNGE leo kunichafua, kunidhihaki, na kusema UONGO na UZUSHI dhidi yangu, ikiwa ni NJAMA za makusudi zilizopangwa kunichafua...
Waziri mpya wa maliasili na utalii ameanza kazi kwa kasi na hali kubwa, sina shaka na utendaji wake hapa ngoma imepata mpigaji
Mh Waziri, ufukuaji wa makaburi usiishie tu kwa Nyalandu
Wizara ni...
Wapo watu wanaojitahidi kupigapiga kelele kuhusu ujenzi unaoendelea wa Chato International Airport (CIA). Watu hawa wanapigia tu kelele mvunguni mwa kitanda lakini ujenzi utaendelea na utakamilika...
INASIKITISHA sana kuona WAZIRI Kigwangalla akitumia MUDA wake ndani ya BUNGE leo kunichafua, kunidhihaki, na kusema UONGO na UZUSHI dhidi yangu, ikiwa ni NJAMA za makusudi zilizopangwa kunichafua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.