Nimebahatika kusikiliza kipande cha hotuba ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe aliyoitoa huko Mtwara. Ni katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata ya Reli mkoani humo...
Rais anasahau au hana taarifa ya kutosha kuhutubia!?
Upotoshaji kwenye hotuba akikabidhi vyeti kwa wajumbe wa kamati ya makinikia amesema eti reli ya mwisho kujengwa nchini ilikuwa mwaka 1905, huu...
Kwa kawaida, serikali yoyote ile huwa ni serikali kwa ajili ya wananchi hasa wanyonge. Serikali hii huhakikisha inafanya kazi kwa namna zote ili kuhakikisha wananchi wake wanakuwa na imani hasa...
Wamesema, kwa kila dola moja 'inayoteketezwa' kwenye ujenzi au ukarabati au upgrade ya miundombinu, kunachochea ukuaji wa uchumi kwa dola mbili!
============================================
NB...
Hali kwa watumishi wa umma imezidi kuwa mbaya sana.Baada ya kutokupandishwa madaraja na mishahara kwa muda mrefu,sasa jinamizi hili limehamia kwenye mikopo ya bank na ile ya ndani(Internal Loans)...
Meya wa Jiji la Arusha Kalisti Lazaro amemvaa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na kuwaambia Wananchi wa Kata ya Muriet, Ujenzi wa Zahanati ni kazi ya Halmashauri na sio kazi ya Mkuu wa Mkoa wa...
Msigwa anaenda kubwata bungeni eti Rais anaipendelea kanda ya Ziwa.
Mwalimu Nyerere alifanikiwa sana kuhakikisha kuwa Tanzania inajivunia utanzania wake na sio kila kabila kuanza kujikweza au...
Mh Rais Magufuli mara kadhaa katika hotuba zake hupenda sana kutumia neno nachukua hatua kadhaa ili wanyonge wa nchi hii waweze nao kufaidi mema ya nchi yetu, anasema anafanya mabadiliko na...
Wabunge wetu hawataki tukope kwa kuogopa deni la Taifa.
Wabunge wetu hawataki tufinance miradi mikubwa kwa fedha za Serikali.
Wabunge wetu wanachukia serikali inapodhibiti mianya ya ukwepaji...
Mahakama kuu ya Dar es salaam imemhukumu muigizaji wa filamu, Elizabeth Michale, maarufu kama 'Lulu', kifungo cha miaka miwili baada ya kumtia hatiani kwa kuua bila kukusudia msanii mwenzake...
Habari za majukumu wana JF.
Tunashukuru kwa kupewa updates za maendeleo ya matibabu ya Mh Tundu Lissu pamoja na gharama zake.
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua maendeleo ya matibabu ya dereva...
Katika historia kuna aina kadhaa za mawakala wa mabadiliko yoyote Yale duniani ( Change agents).
Kwa mfano, kuna The Negotiators ndani ya kundi hili wamo Martin Luther King, JK Nyerere, Nelson...
Kwa ufupi
Kigwangalla anasema rushwa katika ugawaji vitalu; migogoro ya ardhi kati ya wananchi na hifadhi na utoaji vibali vya uvunaji magogo ndizo sababu kuu zilizowaondoa watangulizi wake.
By...
Habari zenu wote, wote tumejionea matendo na mienendo tangu serikali hii iingie madarakani. Maslahi ya Wafanyakazi yamepuuzwa sana kwa kuleta visingizio vya uhakiki ambao si kweli, pia imeelekea...
Nilidhani kubana pesa za safari za nje ya nchi zisizo na tija na kutumia pesa hizo hizo kununulia vyombo vya usafiri kama ndege, meli na hata ujenzi wa reli itapendeza!
Sasa nashangaa mbona...
Tanzania imesitisha mkataba wa Miaka. 25 ya Uindaji iliyouingia na familia ya Mfalme wa Umoja wa.Falme.wa Kiarabu (UAE).
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangala ameagiza Taasisi...
Mkuu wa Mkoa wa Lindi kuwachukulia hatua watumishi wa umma ambao hawajajitokeza kufanya mazoezi ya viungo kwa madai kwamba wamekiuka agizo la Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu la kuwataka...
Akizungumza leo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa asema kuwa, Magari yote ya Serikali yanapaswa kutengenezwa na WAKALA wa ufundi wa umeme (Tanzania Mechanical and...
Hapa chini ni hotuba ya Mh Mbowe, M/kiti wa CHADEMA kwenye kampeni za chaguzi ndogo.
Najiuliza tu, kama yaliyomo kwenye hotuba hii, yanawakilisha ilani ya chama iliyokuwa na kaulimbiu ya Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.