Ukweli mchungu: Hata kama rais Magufuli amekosea kwenye ujenzi wa CIA, hakutakuwa na mjadala wowote!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Wapo watu wanaojitahidi kupigapiga kelele kuhusu ujenzi unaoendelea wa Chato International Airport (CIA). Watu hawa wanapigia tu kelele mvunguni mwa kitanda lakini ujenzi utaendelea na utakamilika huku kukiwa hakuna hata mtu atakayefanikiwa kuufikisha mbali mjadala huu.

Kwenye ujenzi wa flats za UDSM hapo watu walidanganywa kiasi cha fedha na sisi viherehere tuliojaribu kufika karibu ili tu tuujue ukweli nusura tungeonyeshwa cha mtemakuni.Tuliamua kuufyata fyatuu.

Kwenye ujenzi wa CIA kwanza kuna usiri mkubwa na hata vyombo vya habari ni marufuku kuufuatilia ujenzi huu. Kwenye kazi zinazoendelea pale kila kitu ni sirisiri tu! Hakuna kuhojihoji na mbaya zaidi kama huusiki basi ni marufuku kusogea karibu.

Huu utawala tulio nao sasa ni wa ajabu sana. Kwanza kwenye system wamebanwa na mtu mmoja na huyo akisema kimyaaa basi kunakuwa kimya kweli! Jamaa ana sura ya mbuzi usipime.Mkono wake ni chuma haswaa. Hivi hatujajifunza kwa Tundu Lissu? Ben Saanane? Watu wanafanyiwa unyama kiasi hicho na bado hakuna kuhoji! Hata spika siku akijifanya kiherehere kuandaa matume basi ajiandae kukosa hata mishahara ya kuwalipa wabunge! Jamaa anaweza akafanya hivyo na mambo yakaenda kama vile hakuna lililotokea.

Ukweli ni huo kuwa tuko kwenye system ya "one dimension"inayoendeshwa na mtu mmoja kwenye kila nyanja, ukihoji lolote kuhusu chochote ulicho na mashaka nacho basi unaruhusiwa kuhoji mara moja tu na usirudie tena. Na kwa staili anayoenda nayo basi tujiandae baadaye nchi kukabidhiwa mtu wa aina yake na wake ili asifukue haya makaburi mazitomazito yanayojengwa sasa. Tumeshaamua wenyewe kuingia humo! Nawahakikishia kuwa hatutatoka tena humo labda kwa kitambo kirefu na lazima patokee purukushani.
 
Mleta mada hizi kelelee tunazipiga Huku chini ya kitandani zinamkosesha usingizi aliye juu ya kitanda na haelewi baada ya kelele tutachukua hatua gani.

Kuna siku watu watachoka na yale magari ya washa washa hayataweza kudhibiti watu milion 20 wenye hasira.
 
Kwani lazima uhoji? Mbona hujamuhoji baba yako kwa nini alilala na mama yako kukuuzaa wewe?
Umeguswa panapouma sir/madame. Vumilia tu, ndo desturi ya uungwana. Sio kila mara utaona na kusikia unayopenda. Ila mwenzetu kaandika ukweli tena ukweli tupu.

Tatizo train (tz) imehama kwenye reli, dereva (his exellence) kalihamisha makusudi, train guards (bunge na chama) hawasemi chochote wameufyata. Sisi abiria tumegawanyika. Timamu wanapiga kelele, waseme labda his excellence atasikia afunge break turudi kwenye reli tupone. Wengine ndo hivyo mna mahaba na dereva, mnamshangilia tena nasikia mnamwambia akanyagie hapo hapo tena aongeze mwendo 2020 bado mbali.

Ajabu dereva kaamua kuwasikia nyie tu mnaomngilia na kumsifu kwa nyimbo tamu na mapambio. Wacha twende huko huko mlikoamua kutupeleka. Uzuri tumo humu humu sote japo wengine mnaweza siku za usoni kwenda Saudi kama Amin train likichakaa. Sisi maskini tutaenda Zimbabwe.
 
Wapo watu wanaojitahidi kupigapiga kelele kuhusu ujenzi unaoendelea wa Chato International Airport (CIA). Watu hawa wanapigia tu kelele mvunguni mwa kitanda lakini ujenzi utaendelea na utakamilika huku kukiwa hakuna hata mtu atakayefanikiwa kuufikisha mbali mjadala huu.

Kwenye ujenzi wa flats za UDSM hapo watu walidanganywa kiasi cha fedha na sisi viherehere tuliojaribu kufika karibu ili tu tuujue ukweli nusura tungeonyeshwa cha mtemakuni.Tuliamua kuufyata fyatuu.

Kwenye ujenzi wa CIA kwanza kuna usiri mkubwa na hata vyombo vya habari ni marufuku kuufuatilia ujenzi huu. Kwenye kazi zinazoendelea pale kila kitu ni sirisiri tu! Hakuna kuhojihoji na mbaya zaidi kama huusiki basi ni marufuku kusogea karibu.

Huu utawala tulio nao sasa ni wa ajabu sana. Kwanza kwenye system wamebanwa na mtu mmoja na huyo akisema kimyaaa basi kunakuwa kimya kweli! Jamaa ana sura ya mbuzi usipime.Mkono wake ni chuma haswaa. Hivi hatujajifunza kwa Tundu Lissu? Ben Saanane? Watu wanafanyiwa unyama kiasi hicho na bado hakuna kuhoji! Hata spika siku akijifanya kiherehere kuandaa matume basi ajiandae kukosa hata mishahara ya kuwalipa wabunge! Jamaa anaweza akafanya hivyo na mambo yakaenda kama vile hakuna lililotokea.

Ukweli ni huo kuwa tuko kwenye system ya "one dimension"inayoendeshwa na mtu mmoja kwenye kila nyanja, ukihoji lolote kuhusu chochote ulicho na mashaka nacho basi unaruhusiwa kuhoji mara moja tu na usirudie tena. Na kwa staili anayoenda nayo basi tujiandae baadaye nchi kukabidhiwa mtu wa aina yake na wake ili asifukue haya makaburi mazitomazito yanayojengwa sasa. Tumeshaamua wenyewe kuingia humo! Nawahakikishia kuwa hatutatoka tena humo labda kwa kitambo kirefu na lazima patokee purukushani.
Mkuu usiwe na mashaka iko siku. Hata Mobutu, Amin, Bokassa, Saddam nk walikuwa wanatisha kuliko ukoma lakini waliondoka. Na namna waliyoondoka kila mtu anajua.
 
Tusichoke kuhoji, Mkapa na mke wake wakiwa ikulu walianzisha ANBEN LTD ili kufanya biashara ikulu wakajimilikisha mgodi wa Kiwira, pamoja na jeuri yake alipoona watu wanazidi kuhoji aliuachia, so let's keep on knocking am sure one day the door will open.
 
Kwanini watu wachato ahawatakiwi kupewa maendeleo kwa kisingizio cha umasikini wao?? Suala siyo CIA lakini nakumbuka miaka ya Nyuma barabara ya rami kutoka Bukoba kuja Geita ilipigiwa kerere kuwa kajipendelea. Voda wakawepa mnawa wa simu kabla ya biharamulo ikaonekana Magu kajiepndelea..Mkapa akatanza chato kuwa wilaya zikapigwa kerere pia kuwa kajipendelea...Umeme wa REA ukapelekwa chato baadhi ya vijiji tu tukapiga kelele kuwa naibu waziri anatoka huko hivyo si vyema kupeleka umeme kwani anajipendelea. Sasa hat hili la Uwanja nadhani tunashida...kiufupi ni hivi watu wa chato wahatakiwi kupata maendeleo kwan mh Rais anatoka kule


Wapo watu wanaojitahidi kupigapiga kelele kuhusu ujenzi unaoendelea wa Chato International Airport (CIA). Watu hawa wanapigia tu kelele mvunguni mwa kitanda lakini ujenzi utaendelea na utakamilika huku kukiwa hakuna hata mtu atakayefanikiwa kuufikisha mbali mjadala huu.

Kwenye ujenzi wa flats za UDSM hapo watu walidanganywa kiasi cha fedha na sisi viherehere tuliojaribu kufika karibu ili tu tuujue ukweli nusura tungeonyeshwa cha mtemakuni.Tuliamua kuufyata fyatuu.

Kwenye ujenzi wa CIA kwanza kuna usiri mkubwa na hata vyombo vya habari ni marufuku kuufuatilia ujenzi huu. Kwenye kazi zinazoendelea pale kila kitu ni sirisiri tu! Hakuna kuhojihoji na mbaya zaidi kama huusiki basi ni marufuku kusogea karibu.

Huu utawala tulio nao sasa ni wa ajabu sana. Kwanza kwenye system wamebanwa na mtu mmoja na huyo akisema kimyaaa basi kunakuwa kimya kweli! Jamaa ana sura ya mbuzi usipime.Mkono wake ni chuma haswaa. Hivi hatujajifunza kwa Tundu Lissu? Ben Saanane? Watu wanafanyiwa unyama kiasi hicho na bado hakuna kuhoji! Hata spika siku akijifanya kiherehere kuandaa matume basi ajiandae kukosa hata mishahara ya kuwalipa wabunge! Jamaa anaweza akafanya hivyo na mambo yakaenda kama vile hakuna lililotokea.

Ukweli ni huo kuwa tuko kwenye system ya "one dimension"inayoendeshwa na mtu mmoja kwenye kila nyanja, ukihoji lolote kuhusu chochote ulicho na mashaka nacho basi unaruhusiwa kuhoji mara moja tu na usirudie tena. Na kwa staili anayoenda nayo basi tujiandae baadaye nchi kukabidhiwa mtu wa aina yake na wake ili asifukue haya makaburi mazitomazito yanayojengwa sasa. Tumeshaamua wenyewe kuingia humo! Nawahakikishia kuwa hatutatoka tena humo labda kwa kitambo kirefu na lazima patokee purukushani.
 
Kwani lazima uhoji? Mbona hujamuhoji baba yako kwa nini alilala na mama yako kukuuzaa wewe?

Wewe unastahili kuondolewa humu kwa matumizi ya lugha isiyo na staha. Humu tunabishana kwa hoja matusi na mapovu ya nini? Kama huna la kujibu si unyamaze kimya badala ya kushusha heshima yako kila mtu akakuona hamnazo.
 
Nakumbuka niliwahi kuandika humu awamu hii itakuwa na makandokando mengi kuliko awamu zote zilizopita!

Ndio sababu za kuzuia bunge live
Mikutano ya kisiasa kuminywa ili watu wasijue kitu.

Imebaki mitandao ya kijamii tu ambayo akina ZZK wanaitumia kuweka mambo wazi, nayo ni kero kwa mkuu!
 
Wapo watu wanaojitahidi kupigapiga kelele kuhusu ujenzi unaoendelea wa Chato International Airport (CIA). Watu hawa wanapigia tu kelele mvunguni mwa kitanda lakini ujenzi utaendelea na utakamilika huku kukiwa hakuna hata mtu atakayefanikiwa kuufikisha mbali mjadala huu.

Kwenye ujenzi wa flats za UDSM hapo watu walidanganywa kiasi cha fedha na sisi viherehere tuliojaribu kufika karibu ili tu tuujue ukweli nusura tungeonyeshwa cha mtemakuni.Tuliamua kuufyata fyatuu.

Kwenye ujenzi wa CIA kwanza kuna usiri mkubwa na hata vyombo vya habari ni marufuku kuufuatilia ujenzi huu. Kwenye kazi zinazoendelea pale kila kitu ni sirisiri tu! Hakuna kuhojihoji na mbaya zaidi kama huusiki basi ni marufuku kusogea karibu.

Huu utawala tulio nao sasa ni wa ajabu sana. Kwanza kwenye system wamebanwa na mtu mmoja na huyo akisema kimyaaa basi kunakuwa kimya kweli! Jamaa ana sura ya mbuzi usipime.Mkono wake ni chuma haswaa. Hivi hatujajifunza kwa Tundu Lissu? Ben Saanane? Watu wanafanyiwa unyama kiasi hicho na bado hakuna kuhoji! Hata spika siku akijifanya kiherehere kuandaa matume basi ajiandae kukosa hata mishahara ya kuwalipa wabunge! Jamaa anaweza akafanya hivyo na mambo yakaenda kama vile hakuna lililotokea.

Ukweli ni huo kuwa tuko kwenye system ya "one dimension"inayoendeshwa na mtu mmoja kwenye kila nyanja, ukihoji lolote kuhusu chochote ulicho na mashaka nacho basi unaruhusiwa kuhoji mara moja tu na usirudie tena. Na kwa staili anayoenda nayo basi tujiandae baadaye nchi kukabidhiwa mtu wa aina yake na wake ili asifukue haya makaburi mazitomazito yanayojengwa sasa. Tumeshaamua wenyewe kuingia humo! Nawahakikishia kuwa hatutatoka tena humo labda kwa kitambo kirefu na lazima patokee purukushani.

Usiogope hizi kelele zinamtisha hatari na ukiona hatua anazochukua manake huyu no mwoga kuliko wote. Angalia hili la kuziba watu midomo na nguvu anazotumia, walianza kudhulumu wafugaji mifugo yao unaona wako wapi. Usivunjike moyo kusema pia ni kuweka kumbukumbu sawa hata mbeleni ona Mobutu analinganishwa hapa na hata duniani hayupo.
 
Kwanini watu wachato ahawatakiwi kupewa maendeleo kwa kisingizio cha umasikini wao?? Suala siyo CIA lakini nakumbuka miaka ya Nyuma barabara ya rami kutoka Bukoba kuja Geita ilipigiwa kerere kuwa kajipendelea. Voda wakawepa mnawa wa simu kabla ya biharamulo ikaonekana Magu kajiepndelea..Mkapa akatanza chato kuwa wilaya zikapigwa kerere pia kuwa kajipendelea...Umeme wa REA ukapelekwa chato baadhi ya vijiji tu tukapiga kelele kuwa naibu waziri anatoka huko hivyo si vyema kupeleka umeme kwani anajipendelea. Sasa hat hili la Uwanja nadhani tunashida...kiufupi ni hivi watu wa chato wahatakiwi kupata maendeleo kwan mh Rais anatoka kule
Hakuna mtu anayepinga maendeleo kupelekwa Chato tatizo ni aina ya miradi inayopelekwa kule haiendani na ukuaji wa uchumi wa eneo husika (not proportional). Huo uwanja ambao runway yake inaweza kutua Boing 747 inayobeba watu zaidi ya 200, kwa mji wa Chato ni irrelevant, hakuna sababu za msingi za uwanja mkubwa kiasi hicho kujengwa sehemu kama ile.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hakuna mtu anayepinga maendeleo kupelekwa Chato tatizo ni aina ya miradi inayopelekwa kule haiendani na ukuaji wa uchumi wa eneo husika (not proportional). Huo uwanja ambao runway yake inaweza kutua Boing 747 inayobeba watu zaidi ya 200, kwa mji wa Chato ni irrelevant, hakuna sababu za msingi za uwanja mkubwa kiasi hicho kujengwa sehemu kama ile.
Kashindwa kumalizia uwanja wa Mwanza anaanzisha uwanja mpya Cht kweli?
 
Back
Top Bottom