Wakati mnafurahia kuteuliwa kwa Prof LUOGA, Uteuzi ambao unaanza rasmi januari baada ya Gavana wa sasa kukabidhi ofisi desemba, Mteuliwa huyo atakuwa anastaafu mwaka 2018 kwa mujibu wa sheria...
Wachumi na wataalam wa fedha tunaomba tuweke hili sawa isije huko mbeleni ikaonekana hatukusema. Prof. Asad CAG ,Dr.Mpango anafahamu hili,Mwigulu Nchemba wanafahamu hili,popote duniani hakuna...
Wachumi na wataalam wa fedha tunaomba tuweke hili sawa isije huko mbeleni ikaonekana hatukusema. Prof. Asad CAG ,Dr.Mpango anafahamu hili,Mwigulu Nchemba wanafahamu hili,popote duniani hakuna...
Kwenye hotuba yake baada ya kuwatunuku vyeti wajumbe wa kamati yq makinikia , JPM amesikika akisema
"Unadhani tulibadilishana kwa dagaa, au unadhani tulinunua kwa Migebuka?"
Itakuwa vipi...
Najaribu kutafakari iwapo mtandao wa reli ya kisasa utafanikiwa kufika maeneo mengi nchini na jinsi utakavyoweza kuathiri mambo mbalimbali kama vile mapato yatokanayo na kodi iliyohamishiwa kwenye...
Shekh mkuu wa bakwata amemtaadharisha Raisi jpm kuwa asiogope na wala kuchukia pale anapolaumiwa, au kukosolewa kwani huo ni wajibu wa raia waliomchagua.
Akizungumza ktk hafla ya kutunuku vyeti...
Kwa mawazo yangu, huwa ni ngumu sana kwa kiongozi yeyote kukili kwamba kashindwa. Hii vita ya makinikia naona atulie kwanza. Ni kawaida ya askali wanapoona kuzidiwa katika mapambano kuludi nyuma...
Naisikiliza hotuba ya Magufuli hapa, huyu jamaa hapendi kukosolewa kabisa. Yaani hotuba yote ni kuwazungumzia Akina Zitto Kabwe na Lissu. Wewe mkuu tambua wewe ni binadamu na unakosea. Hataki...
MBUNGE mstaafu wa Chama cha Mapinduzi, Omar Mjaka Ali, amesema serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli inahitaji kuokolewa kwa sasa imepotea na kupoteza mwelekeo kutokana na rais kukosa...
Wanabodi,
Huu ni Uteuzi wa aina yake ambao umefanyika leo kwa kauli tu.
Kabla ya kutangaza uteuzi huu, aliishutumu BOT kwa uzembe ya kuachia haya, akamkumbusha Prof. Ndulu kuwa mwisho wake ni...
Hili ni wazo langu kuwa wajumbe wote wa kamati hizi mbili zilizoundwa kuchunguza wizi wa rasilimali zetu watunukiwe nishani ya kitaifa ili kuenzi uzalendo wao kwa nchi.
Wajumbe hawa wamejitunza...
JUMAPILI ya Oktoba 22 mwaka huu (2017) nilisoma na kuvutiwa na kile kilichoandikwa na mwanataaluma ya uhasibu, Kalima Nkonde ambaye ni raia wa Zambia.
Nkonde pia ni mtaalamu wa masuala ya uongozi...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla leo Oktoba 22, 2017 amefuta vibali vyote vilivyotolewa na wizara yake vya uwindaji wa makampuni ili kuwa na utaratibu mpya wa uombaji kwa...
hivi kwa nini mnabomolea watu nyumba, kwa uchumi gani mnayatekeleza haya, mtu anatumia miaka 10 kukusanya fedha, mingine 6 kujenga mpaka ikamilike, nyie mnambomolea, ili iweje.
Hivi serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.